my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
- Thread starter
- #81
Kuachwa is not a big deal labda kwenu ndio mnaona ni big dealHapana adhabu sio kuuliwa bali kuachwa koz anakuwa amemdharau sana mwanaume wake,
Kuachwa is not a big deal labda kwenu ndio mnaona ni big dealHapana adhabu sio kuuliwa bali kuachwa koz anakuwa amemdharau sana mwanaume wake,
Sijawahi kuchepukaDawa yake acha kuchepuka, sawa?
Sijawahi kucheatKwani mleta mada bado tu hujasamehewa. Kwanza kwanini ulicheat hebu acha hizo ndio sisi hatusamehi sasa amua lingine na ukijifanya mjuaji tunapiga chiniii
Labda ni kawaida huko kwenu lakini sio kwa binadamu woteKuishi kwa kuogopa watu ni kawaida kwa binadamu
SijawahiWewe ulicheat kwa sababu zipi za msingi??
Sasa wewe kuachwa unaona ni kitu kikubwa sana 😂Kwa kosa kama hilo, kumsamehe mwanamke ni ujinga wa hali ya juu sana. Ni wanaume wajinga tu wanaowasamehe wanawake kwa kosa kama hilo. Mwanamke hasamehewi bali huadhibiwa kwa kuachwa.
Kwani msamaha upi we unazungumzia, wakusamehe kila mtu akamove on? Au kusamehe kisha kuendelea na mahusianoKuachwa is not a big deal labda kwenu ndio mnaona ni big deal