No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,816
Kwa nini wao wanasamehe sasa!Hao wewe unaowavuaga nguo ni ng'ombe sio!?
Muosha......!??
Usichopenda kufanyiwa....!??
Mkuki......!???
Hahaahaa.. Mtachapiwa tuuh..
Kwa nini wao wanasamehe sasa!Hao wewe unaowavuaga nguo ni ng'ombe sio!?
Muosha......!??
Usichopenda kufanyiwa....!??
Mkuki......!???
Hahaahaa.. Mtachapiwa tuuh..
Wanasamehee!!?? Hahaahaa...Kwa nini wao wanasamehe sasa!
Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo.
Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na wanaume. Wao inakuwa sio rahisi kusamehe hata uombe msamaha vipi. Na akikusamehe basi ujue atakuja kurevenge au atakuwa mtu wa visa kibao bila sababu.
Kwanini wanaume wagumu sana kusamehe kosa la kucheat? Tatizo ni nini?
Ndo utofauti uliopo kuingiliwa kimwili na kumwagiwa mbegu ni kitendo cha kutendwa.Mbona we unacheat Mzee!! Unamwaga Mbegu Kwa wengine...
Mwanamke atacheat kwa sababu haridhshwi na mume kwenye jambo fulani, mfano kitandani. Pia wanawake wengi akikosana tu na mwanamume hata kwenye mambo ya kawaida atakwenda kutafuta faraja nje na hivyo kutoa mzigo kirahisi. Kwa nini?Hakuna bahati mbaya kwenye usaliti hata kwa wanaume, na pia unanidanganya sana tu, mwanamke anayempenda mwanaume wake atacheat sababu ya hela tofauti na hapo yupo na huyo mwanaume kwa sababu fulani either wengine hawakuwa waoaji so alihitaji tu ndoa lakin hakua anampenda au huyo mwanaume kwenye game yupo vibaya na hata hili huwa wanalivumilia sana tu kama anakupenda, yaani inshort mwamke atacheat kwa sababu fulani lakin kiukweli wanaume mara nyingi tuna cheat bila sababu yoyote
Simba anapomiliki kundi kama kiongozi huua madume wote kwwnye kundi lake, inabidi na sisi wanaume mtu akitaka kuoa awaue madume wote waliowahi kumla mke. Vinginevyo ataendwlea kutafunwa tu, hata iweje. Bikira ndio mpango mzimaUlishaona lolote la mnyama wa kufugwa au porini linachangia na Duke lingine mwanamke?
Mwanaume Ni Ngumu Kusamehe Kwasababu Anawaza Mambo Mengi Aliyofanyiwa Mke Wake, Mchumba Wako.
Haya Ni Baazi Ya Maswali Anayo Jiuliza mwanaume Pinde Mke Anapo Chepuka.
▶Jamaa Alitumia Dhana Au Alikula Peku peku!
▶Kama Hawakutumia Kinga Inamaana Mbegu Za Jamaa Zimeingia Kwa Mwanamke Wake!.
▶Walitumia Style Gani!.
▶Jamaa Hakula Tigo!.
▶Kwanini Anisaliti Wakati Siku Zote Nahangaika Kwa Niaba Yake!.
Hayo Ni Machache Tu Kati Ya Maswali Mengi Anayojiuliza Mwanaume Anapo Salitiwa.
Yaani ule vya kwangu halafu unikimbie siku ya siku urudi na utake nikusamehe kiurahisi sio rahisi kama unavyodhani.Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo.
Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na wanaume. Wao inakuwa sio rahisi kusamehe hata uombe msamaha vipi. Na akikusamehe basi ujue atakuja kurevenge au atakuwa mtu wa visa kibao bila sababu.
Kwanini wanaume wagumu sana kusamehe kosa la kucheat? Tatizo ni nini?
Hata wanaujiuzaKwa mwanaume ngono na upendo ni vitu viwili tofauti wakati kwa mwanamke hawezi enjoy ngono kama hampendi mhusika hiyo inamaanisha mwanaume anaweza kumsaliti mwanamke huku bado akiwa anampenda sana tu na hajapunguza hata chembe lakini mwanamke akikusaliti ujue moyoni mwake hauna chako otherwise amekusaliti kwa ajili ya hela hapo kidogo unaweza kumsamehe kama unamoyo huo,
Wako wapi huko bibie?Mbona wapo wengi mkuu?? Ninyi mnaishi dunia ipi??
Wako wapi huko bibie?
Hivyo navyosema uongo utafikiri uko kwa ubongo wa wanawake!Sio kweli, habari ya mwanamke kuwaza hivyohivyo ni uongo.