DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,503
- 1,906
Mara nyingi sana katika safari yangu ya elimu, walimu wamekuwa na tabia ya kusema kwamba uwezo wa mwanafunzi darasani lazima awe anawahi namba, hapigi kelele, awe mara hivi mara vile lakini unakuta wale vipanga wanaokuwa na uwezo (sio wa kariri) na maanisha wale waliokua wanaweza kusolve kila mtego wa maswali hata mwalimu alinyonge vipi, unakuta mara nyingi hawana sifa hizo tajwa.
Mfano;
O-Level kuna jamaa mmoja alikuwa kipanga, ila sikuwahi kumuona akiwa class anasoma mwenyewe. Yeye mwalimu akija ndio anajua kushika daftari, alikua anapiga kelele, anajichanganya na watukutu, kwenye namba kila siku tunachapwa naye, ila kwenye pepa alikuwa anakimbiza. Kuna siku walimu walitushtukiza mitihani siku moja huyu jamaa alichapa A.
A-Level hapa ndo nilishangaa, wengi waliokuwa na uwezo mkubwa walikua madoja. Hakuna kuwahi namba, hivi huwa imakaaje hii?
Mfano;
O-Level kuna jamaa mmoja alikuwa kipanga, ila sikuwahi kumuona akiwa class anasoma mwenyewe. Yeye mwalimu akija ndio anajua kushika daftari, alikua anapiga kelele, anajichanganya na watukutu, kwenye namba kila siku tunachapwa naye, ila kwenye pepa alikuwa anakimbiza. Kuna siku walimu walitushtukiza mitihani siku moja huyu jamaa alichapa A.
A-Level hapa ndo nilishangaa, wengi waliokuwa na uwezo mkubwa walikua madoja. Hakuna kuwahi namba, hivi huwa imakaaje hii?