upupu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2008
- 614
- 197
Wakuu,
Naomba mnifahamishe,
Nimekuwa nikisoma intellectual documents, mara nyingi document inapoanza, page zile za mwanzo mwanzo, utakuta kuna page moja imeachwa blank, na wanaandika kabisa kuwa hiyo page imeachwa hivyo intentionally,
Swali, Je ni nini maana ya kuacha hiyo page?
Naomba mnifahamishe,
Nimekuwa nikisoma intellectual documents, mara nyingi document inapoanza, page zile za mwanzo mwanzo, utakuta kuna page moja imeachwa blank, na wanaandika kabisa kuwa hiyo page imeachwa hivyo intentionally,
Swali, Je ni nini maana ya kuacha hiyo page?