Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Mbona ni general Sana Mzee??!!!,Ungezitaja sasa.Nchi za ulaya, marekani n.k
Mbona ni general Sana Mzee??!!!,Ungezitaja sasa.Nchi za ulaya, marekani n.k
Poa, Itapendeza sana ukiandika wosia kabisa kuwa Ukifa mwili wako uchomwe.Fresh tuu mana sitoumia
ni kawaida huko kwa wazungu wenu wanaochoma 60%Europe naona kama vile 60% wanachoma moto,.... swala hili limekuwa bado geni kwa waafrika ila ni kawaida tu
Kwahiyo mpaka we uidhinishe ndio iwe kawaida??ni kawaida huko kwa wazungu wenu wanaochoma 60%
huku kwetu sio kawaida, hatuchomi hata 1%
kitu hakiwezi kuwa kawaida kwa sababu tu mzungu anakifanya
acha ulimbukeni