Ni namna tu ya kuhifadhi vizuri mwili wake, uzuri wa kuchoma moto mtu haoziTaarifa zinasema Askofu Tutu atachomwa na mabaki yake ndio yatazikwa.
Hii ni Mila ua ndio dini inavyosema?
Naomba kuelimishwa
Ahsante
View attachment 2065387
Ni namna tu ya kuhifadhi vizuri mwili wake, uzuri wa kuchoma moto mtu haozi
Europe naona kama vile 60% wanachoma moto, swala hili limekuwa bado geni kwa waafrika ila ni kawaida tu wala kitendo hicho hakihusiani na itkadi za kidini
Hatari sana!😂😂😂😂Si anachomwa yeye mkuu,mbona unatetemeka wewe
Ujazo wake utabaki uleule.Dawa ni kiberiti tu.Mungu pata nini...!?Mungu pata jivu tu!au uku tz tuwe tunaikatakata maiti vipande vidogo vidogo then tunaweka kwny mfuko tunafukia hii itasaidia sana kutunza maeneo yetu,,
maana itakuwa inatumia sehem ndogo ya ardhi
hahhahahhaha umeongea kama mdosiUjazo wake utabaki uleule.Dawa ni kiberiti tu.Mungu pata nini...!?Mungu pata jivu tu!
Hayo mambo ya kuchoma moto maiti wanayo Wabuddha na Wahindu,Sisi Wakristo hatuna utaratibu huo kabisa.Taarifa zinasema Askofu Tutu atachomwa na mabaki yake ndio yatazikwa.
Hii ni Mila ua ndio dini inavyosema?
Naomba kuelimishwa
Ahsante
View attachment 2065387
Ni nchi gani hiyo Mkuu?. Weka ushahidi hapa.Kuna nchi kuchoma maiti moto sio mila, desturi wala dini ni sera ya kimazingira. Kama taka zingine zinavyochomwa moto basi na maiti huchomwa moto.
Mimi sikubaliani nayo kabisa.Ni namna tu ya kuhifadhi vizuri mwili wake, uzuri wa kuchoma moto mtu haozi
Europe naona kama vile 60% wanachoma moto, swala hili limekuwa bado geni kwa waafrika ila ni kawaida tu wala kitendo hicho hakihusiani na itkadi za kidini
Subiri ufe,na wewe tukuchome moto.Hii sera ya kuchoma moto maiti naikubali sana
Acha kutuletea mambo ya ajabu.au uku tz tuwe tunaikatakata maiti vipande vidogo vidogo then tunaweka kwny mfuko tunafukia hii itasaidia sana kutunza maeneo yetu,,
maana itakuwa inatumia sehem ndogo ya ardhi
Sasa kwa Ulaya hii kitu ni kawaida sana, utazoea tu hata weweMimi sikubaliani nayo kabisa.
Nchi za ulaya, marekani n.kNi nchi gani hiyo Mkuu?. Weka ushahidi hapa.
Fresh tuu mana sitoumiaSubiri ufe,na wewe tukuchome moto.