Kwanini Walimu na manesi wengi hawako 'single'?

Kwa mwanamke mwenye akili ndoa si bahati tu, ni maamuzi ya kuchagua mume bora.

Ukiona unateseka na una mume ni either hukuchagua mume mwenye sifa za mume yaani ulikurupuka ukaangalia sifa tofauti na sifa za mume au wewe si mwanamke unayestahili mume mwenye sifa za mume.
Mulemule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom