Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 5,354
- 11,108
Habari wanajukwaa,
Kuna ka usemi nilikua nakasikia tangu nikiwa shule O-level ila nilikua siamini eti walimu hawazeeki haraka. Kwa kweli nimekuja kushuhudia na kuchunguza juu ya hilo na kuona ni kweli kwa 100% maana juzi kama bahati nimekuta na mwalimu wangu ambaye alinifundisha vidudu(chekechea) sikuweza kuamini kwani haikunipa tabu kumtambua nilivyomuona mara moja niliweza kumfahamu.
Kiukweli yupo vilevile na bado anafundsha na ameweza kufungua center yake mwenyewe sio huyo tu na wengine wengi kuanzia primary mpaka secondary sijajua kiiman kwamba mwenyezi Mungu amewabarki ama vipi au niikwanini inakuwa hivyo.
NAWASILISHA
Aisee,we umeongea.Ukweli ni kwamba tunajua kuridhika, hakuna mashindano ya kijinga ofisini...Huyo Mkuu wa shule ana Boda Boda, mratibu Elimu ana baskeli...me nikakimbilie mkopo wa gari kisa cha kujitia stress nini? Akuu
Halafu hatuna stress za ntakula nini, tunakopesheka yani...nimeshuhudia huku nabebembelezwa kukopa nyama kiroho safi...tunaaminika sa we jaribu kukopa uone unavyopigwa cha mbavu.
Halafu hamna stress za kukutana na boss kila siku ofisini yani...unafanya kazi unavyopenda wakaguzi wanakuja Mara moja kwa mwakaaa...
Pia ni lifetime job, yani uumwe, uvunjike, upooze mshahara uko pale pale na kibarua hakipo mashakanii...
Kubwaa kuliko watoto wenu wanatupa raha, yani tukisahisha mitihani tunacheeeka hadi makunyanzi yanaondokaaa...wanajua kuandika pumba Wallahi.....
nimemaliza...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Kubwaa kuliko watoto wenu wanatupa raha, yani tukisahisha mitihani tunacheeeka hadi makunyanzi yanaondokaaa...wanajua kuandika pumba Wallahi.....
Nyanza ya mwanza.Nikweli kabisa walimu hawazeeki mapema,,nimeanza shule nina mwaka 1994 nikamkuta mwalimu tumbo ni mkuu shule ya msingi nyanza na hadi leo ni mwalimu mkuu pale nyanza na bado anadundika tu.
"Mkapeana mambo mkagonga" Samahani mkuu hii imekuwa sentensi tata kwangutrue juzi kati nimekutana na mwalimu wangu wa primary huwez amin tukapeana mambo tukagonga nikamkumbusha shule akajibu aaah nimehama niko shule nyingine akaniuliza ulikua unafanya kazi wap maeneo yale hakumbuki kua alinifundisha nikiwa darasa la 3 yy anadhan nilikua mkubwa nafanya kazi maeneo hayo nilishangaa sana!!! though kwa muonekano nikisimama nae unaona kabisa kama ni watu wa rika moja ndo mana salam ya mambo ilikua justifiable kabisa in the end wala sikumkumbusha kua alinifundisha!!!!
Hii mada imenikumbusha mbali juzi nimekutana Mwl. Aliyemfubdisha bibi yangu bado yuko vilevile aisee maajabu kweli
HahahahaHabari wanajukwaa,
Kuna ka usemi nilikua nakasikia tangu nikiwa shule O-level ila nilikua siamini eti walimu hawazeeki haraka. Kwa kweli nimekuja kushuhudia na kuchunguza juu ya hilo na kuona ni kweli kwa 100% maana juzi kama bahati nimekuta na mwalimu wangu ambaye alinifundisha vidudu(chekechea) sikuweza kuamini kwani haikunipa tabu kumtambua nilivyomuona mara moja niliweza kumfahamu.
Kiukweli yupo vilevile na bado anafundsha na ameweza kufungua center yake mwenyewe sio huyo tu na wengine wengi kuanzia primary mpaka secondary sijajua kiiman kwamba mwenyezi Mungu amewabarki ama vipi au niikwanini inakuwa hivyo.
NAWASILISHA
Huyo anajifanyisha tu lakini kongoro kwisha anapenda ujana by kulazimisha mambo, lakini walimu hata avae vip utamuona bado ana umri umri wa kutokuzeekaKwa Mtazamo wangu Wanamuziki ndiyo hawazeeki mapema kutokana na kuwa na furaha sana katika kazi yao ya muziki/burudani. Hawana stress
Juzi tu nimemwona mwanamuziki mkongwe mzee Zoro ametupia pensi kama sharo wa umri wa miaka 30 hivi.
Watu wanao ongea sana hawazeeki harskaHabari wanajukwaa,
Kuna ka usemi nilikua nakasikia tangu nikiwa shule O-level ila nilikua siamini eti walimu hawazeeki haraka. Kwa kweli nimekuja kushuhudia na kuchunguza juu ya hilo na kuona ni kweli kwa 100% maana juzi kama bahati nimekuta na mwalimu wangu ambaye alinifundisha vidudu(chekechea) sikuweza kuamini kwani haikunipa tabu kumtambua nilivyomuona mara moja niliweza kumfahamu.
Kiukweli yupo vilevile na bado anafundsha na ameweza kufungua center yake mwenyewe sio huyo tu na wengine wengi kuanzia primary mpaka secondary sijajua kiiman kwamba mwenyezi Mungu amewabarki ama vipi au niikwanini inakuwa hivyo.
NAWASILISHA