Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Mara kadhaa Wakenya wamekuwa wakionyesha chuki ya waziwazi dhidi ya Tanzania, hivi Tanzania iliwakoseeni nini?
Hebu angalia hizi picha mbili chini uone kina MK254 na wenzake ambavyo wana kikorosho kwa mtima.
View attachment 1663444
View attachment 1663445
Hio kiswahili ni ya mtanzania
Kenyans ni Tanzanian wannabes, unategemea nini kwa mtu anaetaka kuwa mtanzania?Hio kiswahili ni ya mtanzania
Tatizo ni kwamba halijulikani. Huyo Mkenya hakuwa na haja ya kutokwa mapovu kuwa Tanzania tumehonga ili tuorodheshwe.Tatizo mkiambiwa ukweli huwa mnaona kama mnachukiwa, hivi mchukiwe kwa lipi au mna kipi haswa hicho cha kuchukiwa.
Hapo jamaa ametoa maoni ya kurekebisha ili iandikwe kama ilivyo.
Daraja letu Athi River lina urefu wa mita 2,785m
Daraja lenu la Mkapa lina urefu wa mita 970m
Kwa hivyo ametoa maoni iandikwe kwamba letu ndio refu Afrika ya Mashariki, ilipaswa badala ya kulialia umbishie kwa data zako ueleze namna gani urefu wa 970m umezidi wa 2,785m.
kiongozi gani hata mmoja anashinda akitoa matamko ya chuki kuihusu kenya???Tanzania na Kenya tulikua marafiki mnoo lakini akatokea mtu mpumbavu mjinga wa ajabu sana tukakosana nao
Wakenya hawatuchukii mimi nipo mpakani ila Watanzania Ndio tuna kinyongo nao baada ya Lissu kwenda kutibiwa huko Ndio matatizo yalipoanza
Kweli huwezi kusikia kiongozi wa Kenya akisema vibaya Tanzania ila viongozi wetu kutwa kuizungumza vibaya kisa.. Kwa nini lissu alipokelewa Kenya
Msikilize jakaya kwenye clip yake wakati anahutubia bunge la Kenya 2015
Juzi Jafo alikua kwenye sherehe za kidinni akasema Wakenya SGR yao imewashinda mpaka wametaka mikopokiongozi gani hata mmoja anashinda akitoa matamko ya chuki kuihusu kenya???
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kauli ipi ya chuki hapo!!!Juzi Jafo alikua kwenye sherehe za kidinni akasema Wakenya SGR yao imewashinda mpaka wametaka mikopo
Akasema hata hivyo inatumia dizeli tofauti na yetu
Pia akasema wameliwa na nzige kwao njaa kwetu neema
Jiwe wakati anafunga bunge alisema yauzieni mazao bei kali hayana chakula kwa sababu ya nzige na corona wala msiwaonee huruma
Yauzieni chakula bei ghali yameliwa na nzige na corona!!sasa kauli ipi ya chuki hapo!!!
hizo zinafanana na zile za jaguar??
train ni kweli limeishia njiani,ni kweli inatumia deisel wala aio uongo,lakini pia ni kweli huwa wananunua chakula kwetu kama jpm alivyosema.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kauli ipi ya chuki hapo!!!
hizo zinafanana na zile za jaguar??
train ni kweli limeishia njiani,ni kweli inatumia deisel wala aio uongo,lakini pia ni kweli huwa wananunua chakula kwetu kama jpm alivyosema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa swali la mleta mada?Tanzania na Kenya tulikua marafiki mnoo lakini akatokea mtu mpumbavu mjinga wa ajabu sana tukakosana nao
Wakenya hawatuchukii mimi nipo mpakani ila Watanzania Ndio tuna kinyongo nao baada ya Lissu kwenda kutibiwa huko Ndio matatizo yalipoanza
Kweli huwezi kusikia kiongozi wa Kenya akisema vibaya Tanzania ila viongozi wetu kutwa kuizungumza vibaya kisa.. Kwa nini lissu alipokelewa Kenya
Msikilize jakaya kwenye clip yake wakati anahutubia bunge la Kenya 2015
👍Kwani daraja la mkapa Ndio Tatizo?
Mimi Nafikiri daraja la mkapa Magu amelikuta na uhusiano wetu na Wakenya umeharibiwa na jiwe
Kisa kwa nini lissu alienda kutibiwa Kenya
Hakuna kingine
Nairobi kuna flyovers 8 kwa zaidi ya miaka 10
Mombasa kisumu usiseme
Eti daraja kule kusini sasa linawahusu nini Wakenya hata Sisi watanzania tulio wengi tunaliona kwenye picha tu
Je tungekua na daraja kama la Misri tungesema Wakenya wanaturoga
Wakenya 99% hawajawahi wala hawapajui Mtwara