Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

Kwanini waislamu wanapingana kuhusu uhalali wa Hadithi?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,176
Reaction score
48,460
Kwa Sasa kwenye mitandao ya kijamii duniani kote, kuna mabishano makubwa sana juu ya uhalali wa kutumia Hadithi kuuhimilisha Uislamu.

Lipo kundi linalosema kuwa Hadithi zimejaza tamaduni za Uarabuni na kuacha misingi ya dini ya kiislamu inayotokana na Quran.

Lakini kundi linalounga mkono matumizi ya Hadithi,linasema kuwa mambo mengi ya msingi ya Uislamu yanategemea kufafanuliwa kupitia Hadithi.

Kundi linalounga mkono matumizi ya Hadithi linasema hata mambo ya sala mara tano Kwa siku yasingejulikana kama kusingekuwepo na hadithi kuhusu idadi ya sala zinazotakiwa kwa siku.

Sasa sijaelewa msingi wa hitilafu hii ni nini hasa!!
 
Wameanza kupingana karne ya 20 mwishoni baada ya kuona hadithi zinaleta shida kwenye jamii za sasa. Mfano mmojawapo ni hadithi ya Mohamed kumuoa Aisha akiwa na miaka 6 na kuanza kumlala akiwa na miaka 9.

Inakuwa ngumu kumtetea mtume wao,mtume bora kuliko wote kwa kitendo kile . Option pekee inayobaki ni kuja na hesabu zisizo eleweka ili kumuoka Mohamed na ukakasi wa jambo lile.
 
jambo lingine unalopaswa kufahamu labda hadithi ziliandikwa miaka 200 baadaye baada ya Muhammad kufariki, hivyo maisha yake kwenye hadithi yalielezewa na watu wengine wakati yeye alishafariki 200 to 300 hundred years later, kwa hiyo uwezekano wa porojo na uwongo ni mkubwa sana kwa maana mhusika mkuu alikwishafariki pia waarabu walikuwa wanafwata oral records au masimulizi kwa maneno kama vile sisi tu hawakuwa na utamaduni wa kuandika records kwani hawakujua kusoma wala kuandika, hadithi ziliandikwa based on masimulizi ya waliokumbuka Muhammad alivyoishi miaka 300 baada ya yeye kufa lkn siyo kwamba Muhammad aliacha kumbukumbu zozote popote za kimaandishi ...
 
Wameanza kupingana karne ya 20 mwishoni baada ya kuona hadithi zinaleta shida kwenye jamii za sasa. Mfano mmojawapo ni hadithi ya Mohamed kumuoa Aisha akiwa na miaka 6 na kuanza kumlala akiwa na miaka 9.

Inakuwa ngumu kumtetea mtume wao,mtume bora kuliko wote kwa kitendo kile . Option pekee inayobaki ni kuja na hesabu zisizo eleweka ili kumuoka Mohamed na ukakasi wa jambo lile.
Unaambiwa alikuwa anamgonga akiwa na miaka sita. Eti kufunika aibu wakafanya miaka 9 ili ionekane alikuwa na uhalali eti kupotezea yani miaka 9.
 
Kwa Sasa kwenye mitandao ya kijamii duniani kote, kuna mabishano makubwa sana juu ya uhalali wa kutumia Hadithi kuuhimilisha Uislamu.

Lipo kundi linalosema kuwa Hadithi zimejaza tamaduni za Uarabuni na kuacha misingi ya dini ya kiislamu inayotokana na Quran.

Lakini kundi linalounga mkono matumizi ya Hadithi,linasema kuwa mambo mengi ya msingi ya Uislamu yanategemea kufafanuliwa kupitia Hadithi.

Kundi linalounga mkono matumizi ya Hadithi linasema hata mambo ya sala mara tano Kwa siku yasingejulikana kama kusingekuwepo na hadithi kuhusu idadi ya sala zinazotakiwa kwa siku.

Sasa sijaelewa msingi wa hitilafu hii ni nini hasa!!

Hadith nyingi zimeandikwa takriban miaka 60 hadi 100 baada ya Mtume
na kwa bahati mbaya zipo hadidhi feki nyingi zilizo andikwa na wale waliokuwa wanauchukia uislam.

Watu hasa wale ambao sio waislam au waislam wachache ambao hawana elimu; hushindwa kutofautisha ni hadithi ipi waiamini na ipi ni Feki lakini pia baadhi ya hadith zimeandikwa kwa tamaduni za kiarabu sasa zikiletwa huku, mambo yakaonekana tofauti na kwetu; wale wapinzani wa Uislam hulazimisha watu waamini kuwa ni mafundisho ya Uislam...kumbe ni tamaduni za kiarabu

Na ndio sababu Waamini; wakitofautiana kwenye Uislam, hutumia Quran na sio Hadithi; Hadithi ni za kusherehesha tu...
Makashfa ya hovyo hovyo dhidi ya Uislam utayasikia kwenye hadithi nyingi FEKI!
 
Hadith nyingi zimeandikwa takriban miaka 60 hadi 100 baada ya Mtume
na kwa bahati mbaya zipo hadidhi feki nyingi zilizo andikwa na wale waliokuwa wanauchukia uislam.

Watu hasa wale ambao sio waislam au waislam wachache ambao hawana elimu; hushindwa kutofautisha ni hadithi ipi waiamini na ipi ni Feki lakini pia baadhi ya hadith zimeandikwa kwa tamaduni za kiarabu sasa zikiletwa huku, mambo yakaonekana tofauti na kwetu; wale wapinzani wa Uislam hulazimisha watu waamini kuwa ni mafundisho ya Uislam...kumbe ni tamaduni za kiarabu
Na ndio sababu kwa Waislam; wakitofautiana kwenye Uislam, hutumia Quran na sio Hadithi; Hadithi ni za kusherehesha tu...

Uongo uongo na ujanja janja mwingi
 
Napendaga ile hadith mudi alikuwa akinyonya ndimi za wanaume wenzake na kulamba midomo yao akiwa uchi msikitini.

Hii Hadith inawaumizaga kobaz.

Kuna ile shetani anawapulizia matakoni wakiswali. Yani kobaz inamuuma balaaa.

adriz de mbusii
Lakini mkuu roho mtakatifu alimuingilia Mariamu akiwa na miaka 12 tu.
 
Hadith zote ni za uongo ila wanaangalia zile nzuri ndo wanasema sahihi. Quran na Hadith zote ni stori za kitoto sana
Sahih al-Bukhari (3320) anasema mtume aliagiza kuwa iwapo nzi atatumbukia kwenye kinywaji chako, basi unatakiwa kutumia kidole chako kumzamisha kabisa kwa sababu bawa lake moja limebeba magonjwa na jingine limebeba dawa (ya kuponya)
 
Sahih al-Bukhari (3320) anasema mtume aliagiza kuwa iwapo nzi atatumbukia kwenye kinywaji chako, basi unatakiwa kutumia kidole chako kumzamisha kabisa kwa sababu bawa lake moja limebeba magonjwa na jingine limebeba dawa (ya kuponya)
HAKUNA MAHALA POPOTE QURAN IMEANDIKA TUFUATE MAFUNDISHO YA HADITHI
Wapotoshaji ndio hung'ang'ania hadithi hasa zile FEKI kwa ajili ya kuuchafua Uislam!
 
Hili suala kwasasa limekuwa tatizo kwa Waislam, wengi wanakuja na yao na si ya yale yaliyoabdikwa katika Quran Tukufu
katika Hadith leo nimemsikia Sheikh wa kishia mmoja kwa TikTok anazungumza kama asiyekuwa na Ilmu yoyote ile na amejaa uzushi kweli...Inna llilah
Sijui tunakoelekea lakini
 
Uislam ni kunyenyekea na kufuata mafundisho ya Mungu/Allah yaliyo andikwa kwenye QURAN na kufikishwa kwetu na mitume wake.
HAKUNA MAHALA POPOTE QURAN IMEANDIKA TUFUATE MAFUNDISHO YA HADITHI
Wapotoshaji ndio hung'ang'ania hadithi hasa zile FEKI kwa ajili ya kuuchafua Uislam!
Unajichafua wenyewe. Wewe jitu jeusi ni kuota na kutamani eti umeahidiwa ukifa kwenye uislam itabadilika kuwa liarabu. Ndiyo sababu kuu na ya kipekee wewe kuwa muislam.
 
Wameanza kupingana karne ya 20 mwishoni baada ya kuona hadithi zinaleta shida kwenye jamii za sasa. Mfano mmojawapo ni hadithi ya Mohamed kumuoa Aisha akiwa na miaka 6 na kuanza kumlala akiwa na miaka 9.

Inakuwa ngumu kumtetea mtume wao,mtume bora kuliko wote kwa kitendo kile . Option pekee inayobaki ni kuja na hesabu zisizo eleweka ili kumuoka Mohamed na ukakasi wa jambo lile.
Uharamia wallah !!! 6/9 twende kazi halafu eti huyo ametumwa na MUNGU! Hapana
 
Back
Top Bottom