Kwanini Waislam hawajifunzi?

Basi aendelee kuvumilia teuzi za JPM anazowapa Wakristu, na mwaka 2020 ampigie tena debe JPM ili aje alalamike vizuri
 
Basi msilalamike!! Kubalini matokeo ya uchaguzi wenu.
 
He sasa wakati wa Kikwete ulidhani angesema nini, picha hukuiona?!?!!?
 
mkuu umesahau tu...lkn hata kikwete alilalamikiwa kwamba anawapendelea waislamu...cjui kuhusu katiba mpya..
 
Saizi akitoka mkatoliki tunataka mmoraviani tumechoka sasa kuongozwa na watu wa mataifa wasiomjua mungu
 
Ushauri wangu wawekeze kwenye elimu kwa watoto wao tu
Wakiwa na wasomi na wenye sifa watachaguliwa tu
Hili ndio hawalielewi.. Yaani mtyu anatoa idadi ya wasomi waislamu. Kama unataka kulinganisha tyoa idadi ya wasomi wakristu na wasomi waislamu. Thenuone ratio ya waislamu na wakristu ndio uopate ulinganifu. Kwa hiyo sheikh aje na listi ya waasomi wakristu pia ndio mjadala uendelee!
 

Soma: Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania
 
Mods wekeni option ya ku unlike
 
Mungu wangu! Siku hizi wanalialia hovyo tatizo nini? Hata hatuwaelewi, agenda ya maana hawana. Au wamelazimishwa kusali tag au sabato,? Daaaaaa!
 
Hata Trump aliambiwa hana sifa tena na viongozi wakubwa wa chama na rais wa nchi take. Unapo sema hawana sifa una maana gani. Hao wenye sifa toka Uhuru wanalalamikiwa ndo wanaja wakristo kwenye nyazifa zote kama nchi haina waislamu
 
Waiyunge vipi katiba mkono? Uliza uwamsho wako wapi? Walihoji kuhusu mchakato wa katiba na muungano, leo hii wako wapi? Wewe huijui ccm? Ukitaka haki nchi hii lazima ujitoe sadaka, kwa maana viongozi hawataki ukweli, hawataki haki, bakwata ipo chini ya ccm ili kuwa control waislam na kuwanyamazisha
 
Kwa kiasi kikubwa waislam ndiyo wanao iweka ccm madarakani adi leo hii, utawasikia oohooo tumchague huyu ni mwenzetu, mara oohooo tusimchague Yulee ni padiri, ohoo huyu katuaidi mahakama ya kadhi, uchaguzi ukipita tuu wananchinjiwa baharinii na kuanza kulialia
 
Suluhisho kuu ni Katiba ya Warioba na sio ya Sitta na Chenge
 
Haya ma-dini ya mapokeo yana shida sana. Ukristo/Uislamu vyote tabu tupu. Bora tungebaki na imani zetu za asili.
 
Na waislam wakikurupuka kwa hizi harakati za Khalifa Khamis wasimlaumu mtu

Kuna masheikh ni khatari kuliko tunavyowajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…