Old guard
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,488
- 2,695
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Nimepita hapo Soko la Kisutu lililopo Posta kutafuta mahitaji kidogo nikakutana mabishano Mfanyabiashara mmoja wa pizza analalamika kufanyiwa hujuma na roho mbaya za kibiashara na jirani yake ambaye ni Muhindi.
Anasema anazushiwa kuwa anauza Pizza za Nyama ya Nguruwe na visa mbalimbali.
Na pia nakumbuka kisa kingine mkoani Arusha katika kampuni ya A-Z inamilikiwa na Wahindi iliyopo maeneo ya kisongo Wafanyakazi na vibarua wa mule wanafanya kazi katika mazingira magumu sana halafu nasikia Muhindi acheki na kima.
Najisikia vibaya sana nikiona au nikisikia Mtanzania akinyanyaswa na wageni wa nchi nyingine.
Nimepita hapo Soko la Kisutu lililopo Posta kutafuta mahitaji kidogo nikakutana mabishano Mfanyabiashara mmoja wa pizza analalamika kufanyiwa hujuma na roho mbaya za kibiashara na jirani yake ambaye ni Muhindi.
Anasema anazushiwa kuwa anauza Pizza za Nyama ya Nguruwe na visa mbalimbali.
Na pia nakumbuka kisa kingine mkoani Arusha katika kampuni ya A-Z inamilikiwa na Wahindi iliyopo maeneo ya kisongo Wafanyakazi na vibarua wa mule wanafanya kazi katika mazingira magumu sana halafu nasikia Muhindi acheki na kima.
Najisikia vibaya sana nikiona au nikisikia Mtanzania akinyanyaswa na wageni wa nchi nyingine.