Kwanini wachumba wa mitandaoni wengi ni waliokubuhu?

Kwanini wachumba wa mitandaoni wengi ni waliokubuhu?

Albosignathus

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,898
Reaction score
1,051
Wana wa mmu,tangu ndoa yangu ivunjike nimekuwa na juhudi kubwa za kutafuta mke hasa kwenye mitandao cha ajabu ni kwamba nakutana na watu waliokubuhu katika mapenzi, wenye watoto tiari, walioachika au wenye umri mkubwa au wenye matatizo ya kimaisha na anataka atumie mapenzi ya kuwa mke ili atatue matatizo yake.

Kwakweli sijawahi kukutana na bikra. Nilidhani naweza kupata mchumba mzuri kwa kukutana na watu wapya nisiowajua lakini zoezi ni gumu kama chuma.
 
Usikate tamaa endelea kupigana mkuu kitaeleweka
 
Wana wa mmu.Tangu ndoa yangu ivunjike nimekuwa na juhudi kubwa za kutafuta mke hasa kwenye mitandao cha ajabu ni kwamba nakutana na watu waliokubuhu katika mapenzi,wenye watoto tiari,walioachika au wenye umri mkubwa au wenye matatizo ya kimaisha na anataka atumie mapenzi ya kuwa mke ili atatue matatizo yake,kwakweli sijawahi kukutana na bikra.Nilidhani naweza kupata mchumba mzuri kwa kukutana na watu wapya nisiowajua lakini zoezi ni GUMU KAMA CHUMA.

mbona kama unajisema mwenyewe???!!!!
 
ushahidi ikiwezekana hata picha ya hao wanawake
 
Sio kweli...mbona mm nmempata Khantwe hajakubuhu au ndio upofu wangu?
 
Wana wa mmu.Tangu ndoa yangu ivunjike nimekuwa na juhudi kubwa za kutafuta mke hasa kwenye mitandao cha ajabu ni kwamba nakutana na watu waliokubuhu katika mapenzi,wenye watoto tiari,walioachika au wenye umri mkubwa au wenye matatizo ya kimaisha na anataka atumie mapenzi ya kuwa mke ili atatue matatizo yake,kwakweli sijawahi kukutana na bikra.Nilidhani naweza kupata mchumba mzuri kwa kukutana na watu wapya nisiowajua lakini zoezi ni GUMU KAMA CHUMA.

Sasa Mkuu ulitaka ambaye sio mzoefu ? Na ukishamzoesha uibiwe tena? Si bora ya sie tuliokubuhu?
 
Hahahhaa duh JF is never boring, hivi enzi hizi bado watafta bikra?
 
Hahahaaaaaaaa! kantangazeeeeeeeeeeeeeeee! Madogo lakini mazito!
 
Mhhh unatafuta bikra je wewe ni bikra?
 
Hao wenye umri mkubwa sindo wazuri sasa?! Acha uzembe beba hao hao
 
Back
Top Bottom