Mr Alpha
Senior Member
- Jul 31, 2018
- 195
- 522
Mechi kati ya Al Ahly na simba ni kisasi ambacho ni kati ya dubwana lenye nguvu dhidi ya kijana mdogo, mechi ya kariba hiyo ni rahisi japo ngumu. Al Ahly kupangwa na simba ni kama bahati kwao maana wanauzoefu wa kuitoa simba, ni Simba yenye deni la kufuta uteja huo.
Simba inapaswa kutumia kila mbinu kuhakikisha awamu hii lazima Al Ahly apishe njia vinginevyo tunatolewa kama kawaida na dharau itaendelea kudumu kwamba hatuwawezi Al Ahly
Ukiangalia mechi mbili zilizopita za Super League Simba ilipambana vizuri mno ila ikaruhusu magoli ya kijinga kabisa magoli ya uzembe usio kifani
Itaendelea kuwa kibonde wa AL Ahly mpaka lini? hakika inatosha
Ni muda muafaka wa Simba kulazimisha heshima haijalishi Al Ahly wana ukubwa gani, awamu hii inabidi wapishe njia
Kamati ya ufundi ihakikishe kila mchezaji wa simba ataepata nafas kwenye mechi dhidi ya Al Ahly ajue sio mechi ni kisasi lazima kupambana kama jihadi, matokeo ni lazima sio majaliwa lazima Mwarabu apigike
Inawezekana kabisa mbona wale wabrazil Fluminense waliwapakua goli 3 kirahisi kabisa kwenye klabu bingwa dunia?
Simba inapaswa kutumia kila mbinu kuhakikisha awamu hii lazima Al Ahly apishe njia vinginevyo tunatolewa kama kawaida na dharau itaendelea kudumu kwamba hatuwawezi Al Ahly
Ukiangalia mechi mbili zilizopita za Super League Simba ilipambana vizuri mno ila ikaruhusu magoli ya kijinga kabisa magoli ya uzembe usio kifani
Itaendelea kuwa kibonde wa AL Ahly mpaka lini? hakika inatosha
Ni muda muafaka wa Simba kulazimisha heshima haijalishi Al Ahly wana ukubwa gani, awamu hii inabidi wapishe njia
Kamati ya ufundi ihakikishe kila mchezaji wa simba ataepata nafas kwenye mechi dhidi ya Al Ahly ajue sio mechi ni kisasi lazima kupambana kama jihadi, matokeo ni lazima sio majaliwa lazima Mwarabu apigike
Inawezekana kabisa mbona wale wabrazil Fluminense waliwapakua goli 3 kirahisi kabisa kwenye klabu bingwa dunia?