Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

Point ni kuwa kama wana pesa nyingi wanazodai basi Moshi ifanane na Tokyo sisi ndo tunachotaka sio sifa ambazo hatuoni
 
Point ni kuwa kama wana pesa nyingi wanazodai basi Moshi ifanane na Tokyo sisi ndo tunachotaka sio sifa ambazo hatuoni
Hivi kuna watu wana sifa na majigambo kama wasukuma, waha, wahaya aiseee vipi kuhusu hayo makabila.......????
Cheki chifu godlove ni mchagga.
Mwijaku ni mchagga..
Dotto magari...
Machawa wengi wanasifa waangalie ni kabila gani?

Wachagga huwa wanamajigambo ya wenyewe kwa wenyewe huwa hawapendi kujigamba kwa kabila zingine....

Tangu lini ukasikia mchagga anamtambia mkinga???? Wala hawana mazoea.

Nilichogundua kanda ya ziwa mmeshakaririshwa kuwachukia wachagga...poor you....yule jamaa wenu wa chtooo aliwafundisha.

Wasukuma nawapenda badilikeni nyie ni majembe ujue 😅😅😅
 
Hivi kuna watu wana sifa na majigambo kama wasukuma, waha, wahaya aiseee vipi kuhusu hayo makabila.......????
Cheki chifu godlove ni mchagga.
Mwijaku ni mchagga..
Dotto magari...
Machawa wengi wanasifa waangalie ni kabila gani?

Wachagga huwa wanamajigambo ya wenyewe kwa wenyewe huwa hawapendi kujigamba kwa kabila zingine....

Tangu lini ukasikia mchagga anamtambia mkinga???? Wala hawana mazoea.

Nilichogundua kanda ya ziwa mmeshakaririshwa kuwachukia wachagga...poor you....yule jamaa wenu wa chtooo aliwafundisha.

Wasukuma nawapenda badilikeni nyie ni majembe ujue 😅😅😅
Wajinga sana hao jamaa.
 
wachaga ambao ni madon kweli wengi wao ni wa kimya na wapo na mambo yao na hawana dharau labda uingie kwenye 18 zao,,,shida ni kwa wale kajambanane ndo dharau kibao na maneno mengi ya kejeli ila ukija kucheki maisha yao ni ya kawaida saaana
kuna mzee mmoja anaitwa ernert masawe, sijui kama bado yupo hai, yule mzee ana hela chafu, niliwai kutana naye miaka ya nyuma, huwezi dhani hata ana m10, ila mantra ilipouzwa mzee alikunja usd 15m, nikaja kufahamu mengi juu yake, ila mwamba low key balaa.
 
Kwa hiyo nyiyi vita yenu ni wasukuma sio? Ndo manaa wengi wenu hamkumpenda Magufuli na hamumpendi Makonda pia!
Unajiwasha na kujikuna mnyewe, subiri ukunwe.....wachagga ni kama maji msipo yanywa mtayaoga.
 
Leo ningependa nizungumze na ndugu zangu Wachaga na wanipe ufafanuzi kuhusiana na madai yangu.

Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakutana na machapisho mengi yanayozungumzia sana ndugu zetu Wachaga kwa namna chanya kwamba wana uwezo mkubwa wa fedha nakadhalika na mbaya zaidi wapo ambao wanafikia hatu ya kudharau watu wengine kwasababu ya kasumba hii.

Jambo moja linalonipelekea kuandika article hii ni kwasababu kila napopita mji wa Moshi miaka nenda rudi tangu nikiwa mtoto na sasa ni mtu mzima uko vilevile kwanzia majengo huwa sioni yakijengwa mapya, maghorofa mapya matokeo yake umekuwa ni mji usiokua wala kubadilika kana kwamba hawa Wachaga wameutelekeza.

Wachaga nijibuni kwanini mnasifika sana kwa maendeleo lakini mji wa Moshi ambao ndio utambulisho wenu miaka nenda rudi uko vile vile sasa tunashindwa kuelewa kwanini hamfanani na haya mnayoyasema?

Ningekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lazima ningewahoji mpaka mnieleze kwanini mji wa Moshi mmeutelekeza huku mkijigamba mna maendeleo makubwa.

Swala la kumiliki rasilimali mikoa mingine ikiweno Dar es Salaam kwa namna ya ndani kabisa ni kwamba mnakweza jiji la Dar es Salaam au majiji hayo lakini asili yenu ambayo ni mji wa Moshi inakufa na mpo kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza mji wenu kimaendeleo.

Je hili mnalitambua?

View attachment 2874249
Njoo huku kwenu upareni MWANGA NA SAME DC. Ndio utajua where there is a water the dumb is thirsty. Nyumba ya mungu dam ipo lakini mjini hakuna maji. Mzee Msuya cleopa ndio Don wa kila kitu
 
+ WAHAYA....ni watu waoga kweli....ukimpakia kwenye gari ukae kimya usiseme gari ina tatizo kidogo.....ANASHUKA HAPOHAPO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom