Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Tumesikia viongozi, wanamichezo, wafanyabiashara wengi sehemu mbalimbali ya dunia wakichukua hatua za ziada kusaidia hili janga.
-kupunguza mishahara yao
-kuchangia fedha na vifaa
-Kutoa mishahara yao kwa ajili ya kusaidia hili janga
Nilitegemea hii serikali ya wanyonge hasa wabunge wanaojua hali za watz moja Kati ya kitu wangefanya ingekua kuacha kabisa kuchukua posho na kupunguza mishahara yao kwa angalau 70%......
YAANI NDUGAI ANATAKA KUENDELEA KUTUKAMUA TUUU..,....
WAWAKILISHI WA WANANCHI HAWAJAONYESHA KUJALI TUWAPINGE NA TUWAKUMBUSHE KUA NA HEKIMA NA HURUMA
-kupunguza mishahara yao
-kuchangia fedha na vifaa
-Kutoa mishahara yao kwa ajili ya kusaidia hili janga
Nilitegemea hii serikali ya wanyonge hasa wabunge wanaojua hali za watz moja Kati ya kitu wangefanya ingekua kuacha kabisa kuchukua posho na kupunguza mishahara yao kwa angalau 70%......
YAANI NDUGAI ANATAKA KUENDELEA KUTUKAMUA TUUU..,....
WAWAKILISHI WA WANANCHI HAWAJAONYESHA KUJALI TUWAPINGE NA TUWAKUMBUSHE KUA NA HEKIMA NA HURUMA