Hivi ww na akili zako unaamini huyu ndo mpinzani wa kweli? Alichokifanya 2015, kuchukua wagombea wa CCM kuja kuwapa nafasi ya kugombea Chadema katika nafasi ya uraisi na ubunge unafikiri lilikuwa swala la bahati mbaya? Hao wote wachumia tumbo, na wapo upinzani kwa masilahi na mikakati maalum
View attachment 1753745