johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,535
Ikumbukwe kuwa Zitto Kabwe na Freeman Mbowe walitoa hotuba zao siku moja ila walipishana masaa tu.
Zitto Kabwe alijikita kwenye ripoti ya CAG na akaelezea ubadhirifu katika maeneo kadhaa ikiwemo ATCL.
Freeman Mbowe yeye alijikita kuuelezea utawala wa awamu ya tano ulivyohitimika na kuanza kwa utawala mpya wa awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan
Wabunge wengi akiwemo Spika Ndugai wameonekana kuvutiwa zaidi na hotuba ya Mbowe na hakuna anayemzungumzia Zitto Kabwe kabisa.
Najiuliza kwanini?
Ramadhan Kareem!
Zitto Kabwe alijikita kwenye ripoti ya CAG na akaelezea ubadhirifu katika maeneo kadhaa ikiwemo ATCL.
Freeman Mbowe yeye alijikita kuuelezea utawala wa awamu ya tano ulivyohitimika na kuanza kwa utawala mpya wa awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan
Wabunge wengi akiwemo Spika Ndugai wameonekana kuvutiwa zaidi na hotuba ya Mbowe na hakuna anayemzungumzia Zitto Kabwe kabisa.
Najiuliza kwanini?
Ramadhan Kareem!