Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kwanini hoja zilezile zilizotolewa kwenye bunge Mwaka 2015-2020 ndizo zinazoibuliwa leo na wabunge wa CCM wakati kipindi zinatolewa walizipinga?
Hoja ya kutumia taskforce kukusanya kodi iliezwa vyema bunge lililopita na wabunge wa CCM na uongozi wa Bunge pamoja na Mawazir waliipinga vikali.
Hoja ya biashara kufa ilijadiliwa sana tunaambiwa hakuna biashara inayofungwa, wanaofunga ni mafisadi.
Hoja ya ubovu wa mfumo wa elimu Mbatia ameimba for years akipingwa na Wana ccm, je leo imegeukaje kuwa agenda yao?
Viwanda navyo waliambiwa wanafanya siasa kipindi kile Cha Mwijage na Tanzania ya viwanda, lakina ilikataliwa na kuonekana kama watoa hoja wanapinga kila kitu, Leo viwanda vipo wapi?
Kilimo ndo kabisa taadhari ilitolewa kuanzia mbaazi, korosho, kahawa, mahindi nk tulifunga masikio tusisikie ila Leo imegeuka agenda...
Hoja hizi na nyingine nyingi zingezingatiwa na kupatiwa ufumbuzi hali isingekuwa kama ilivyo Sasa. Wanatojitokeza kushauri Sasa baada ya awali kukosea kuishauri serikali wana kila sifa ya uhujumu uchumi.
Lini tutaamua kuweka maslahi mapana ya Taifa mbele? Lini tutaanza kuwazungumzia wananchi? Tuchutame
Hoja ya kutumia taskforce kukusanya kodi iliezwa vyema bunge lililopita na wabunge wa CCM na uongozi wa Bunge pamoja na Mawazir waliipinga vikali.
Hoja ya biashara kufa ilijadiliwa sana tunaambiwa hakuna biashara inayofungwa, wanaofunga ni mafisadi.
Hoja ya ubovu wa mfumo wa elimu Mbatia ameimba for years akipingwa na Wana ccm, je leo imegeukaje kuwa agenda yao?
Viwanda navyo waliambiwa wanafanya siasa kipindi kile Cha Mwijage na Tanzania ya viwanda, lakina ilikataliwa na kuonekana kama watoa hoja wanapinga kila kitu, Leo viwanda vipo wapi?
Kilimo ndo kabisa taadhari ilitolewa kuanzia mbaazi, korosho, kahawa, mahindi nk tulifunga masikio tusisikie ila Leo imegeuka agenda...
Hoja hizi na nyingine nyingi zingezingatiwa na kupatiwa ufumbuzi hali isingekuwa kama ilivyo Sasa. Wanatojitokeza kushauri Sasa baada ya awali kukosea kuishauri serikali wana kila sifa ya uhujumu uchumi.
Lini tutaamua kuweka maslahi mapana ya Taifa mbele? Lini tutaanza kuwazungumzia wananchi? Tuchutame