Kwanini Viongozi wa Mahakama, wabunge na viongozi wakuu wa serikali awalipi Kodi?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Nchi yetu inakautawala kaajabu kwelikweli, watu wanaopaswa kuwa mfano mzuri wa ulipaji Kodi ndio waliozuiliwa na sheria kulipa Kodi. Watu wanaolipwa vizuri awalipi Kodi. Watu wanaopaswa kuwatetea na kutunga sheria nzuri kuhusu Kodi awalipi Kodi. Watu wa aina hii wanawezaje kujua uchungu wa Kodi Hadi watunge na kusimamia sheria rafiki katika kutoza Kodi?

Wao wanapewa nyumba, wanapewa usafiri, wanalipiwa mafuta, wanalipiwa pesa ya mawasiliano,wanalipiwa wafanyakazi wanaowasaidia, wanalipiwa kila na bado wanamishahara mizuri na mikubwa lakini Kodi kwao hapana.

Hii ndio Tanzania ya Wanyonge?Natamani tupige kelele watu Hawa waanze kulipa kodi
 
Nchi yetu inakautawala kaajabu kwelikweli, watu wanaopaswa kuwa mfano mzuri wa ulipaji Kodi ndio waliozuiliwa na sheria kulipa Kodi. Watu wanaolipwa vizuri awalipi Kodi. Watu wanaopaswa kuwatetea na kutunga sheria nzuri kuhusu Kodi awalipi Kodi. Watu wa aina hii wanawezaje kujua uchungu wa Kodi Hadi watunge na kusimamia sheria rafiki katika kutoza Kodi?

Wao wanapewa nyumba, wanapewa usafiri, wanalipiwa mafuta, wanalipiwa pesa ya mawasiliano,wanalipiwa wafanyakazi wanaowasaidia, wanalipiwa kila na bado wanamishahara mizuri na mikubwa lakini Kodi kwao hapana.

Hii ndio Tanzania ya Wanyonge?Natamani tupige kelele watu Hawa waanze kulipa kodi

Kwa sababu hawataki katiba mpya ya kistaarabu
 
Kama mkuu wa mhimili wa bunge ambao ndyo unaotunga sheria na kuisimamia serikali hafungwi wala hawajibishwi na sheria unategemea nini hapo. We are all fucked!
 
Ili siku wakihoji kwanini wananchi wanateseka kwa sheria kandamizi wajibiwe kuwa ni lazima watu waendelee kukandamizwa ili wao waishi kama wafalme
 
Nchi yetu inakautawala kaajabu kwelikweli, watu wanaopaswa kuwa mfano mzuri wa ulipaji Kodi ndio waliozuiliwa na sheria kulipa Kodi. Watu wanaolipwa vizuri awalipi Kodi. Watu wanaopaswa kuwatetea na kutunga sheria nzuri kuhusu Kodi awalipi Kodi. Watu wa aina hii wanawezaje kujua uchungu wa Kodi Hadi watunge na kusimamia sheria rafiki katika kutoza Kodi?

Wao wanapewa nyumba, wanapewa usafiri, wanalipiwa mafuta, wanalipiwa pesa ya mawasiliano,wanalipiwa wafanyakazi wanaowasaidia, wanalipiwa kila na bado wanamishahara mizuri na mikubwa lakini Kodi kwao hapana.

Hii ndio Tanzania ya Wanyonge?Natamani tupige kelele watu Hawa waanze kulipa kodi
Wazo zuri
 
Nchi yetu inakautawala kaajabu kwelikweli, watu wanaopaswa kuwa mfano mzuri wa ulipaji Kodi ndio waliozuiliwa na sheria kulipa Kodi. Watu wanaolipwa vizuri awalipi Kodi. Watu wanaopaswa kuwatetea na kutunga sheria nzuri kuhusu Kodi awalipi Kodi. Watu wa aina hii wanawezaje kujua uchungu wa Kodi Hadi watunge na kusimamia sheria rafiki katika kutoza Kodi?

Wao wanapewa nyumba, wanapewa usafiri, wanalipiwa mafuta, wanalipiwa pesa ya mawasiliano,wanalipiwa wafanyakazi wanaowasaidia, wanalipiwa kila na bado wanamishahara mizuri na mikubwa lakini Kodi kwao hapana.

Hii ndio Tanzania ya Wanyonge?Natamani tupige kelele watu Hawa waanze kulipa koUnaleta
labda sijakuelewa, ni kodi zipi hao watu wamesamehewa? Nikisoma Second schedule ya Income Tax Act sioni walipotajwa. Sina hakika sana kama wana misamahaa inayoangukia Section 10 ya Income Tax Act. Tafadhali fafanua
 
Kama ripoti ya CAG inataja ubadhirifu mkubwa wa mali ya umma na mhusika hana wasiwasi hadi kufikia kutisha watu kwenye mitandao ndo utaujua undani wa hii serekale ya kulindana...
 
Back
Top Bottom