Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,122
- 111,813
Na aweke auto background refresh OFF vinginevyo ni maumivu. Hizi simu zetu za 4G&5G zinakula bando sana.Anza na hili, ukiwa nje ya WIFI weka DATA SAVER ON.
Na aweke auto background refresh OFF vinginevyo ni maumivu. Hizi simu zetu za 4G&5G zinakula bando sana.Anza na hili, ukiwa nje ya WIFI weka DATA SAVER ON.
Aisee nikajua Mimi tu...Hawa mapimbi Kuna sehemu wanatupigahuwajui vodacom wewe,bando linateleza kama kwenye barafu.
fafanua zaidi.Upgrade lainiiii
Njoo nikuuzie vya halotel vinachelewa sanaNaomba mnisaidie, kwa miezi kadhaa kabisa nikinunua kifurushi cha mwezi cha internet kinaisha hata wiki hainaisha wakati Natuma jioni tu Tena kwa Kiasi kidogo kwani mchana huwa ni atumia WiFi ya ofisini.
Vipi nyie wenzangu?
njoo nikupe ya halotelWifi ya airtel inaisha haraka sana natumia rooter Yani wiki tatu nimetumia gb 40
Mimi pia...mpaka imebidi niwe nabeba router mda wote..maana nikijiunga bado kawaida tu linayeyuka fasta sana
Mimi pia...mpaka imebidi niwe nabeba router mda wote..maana nikijiunga bado kawaida tu linayeyuka fasta sana