Kwanini Vatican haitambuliki na UN?

Kwanini Vatican haitambuliki na UN?

Ulitakiwa kuuliza swali kuhusu Palestina, badala ya Vatican isiyo na changamoto zozote zile za kujadili! Zaidi tu ya zile za kujifurahisha, na kuchangamsha kijiwe. Maana historia ya Vatican, inafungamana na siasa za Benito Musolini; Dikteta wa Italy wa wakati huo, aliyeamua kulimegea Kanisa hilo eneo la takribani hecta 29 tu, nje kidogo ya Mji wa Roma kuwa Makao Makuu ya Kanisa. Na lengo lake kuu lilikuwa ni kuliziba mdomo Kanisa, ili lisimkosoe kutokana na sera yake ya kifashisti.

Jiulize sasa ni kwa nini Palestina haitambuliki kama nchi mara baada ya kutangazwa Taifa la Israel mwaka 1948?
Na wakati kabla ya mwaka huo, Palestina ilikuwa ni nchi yenye mipaka yake? Tena historia yake inafanana kabisa na ya Tanganyika!


Kabla ya Vita ya Kwanza ya Dunia, ilitawaliwa na Dola ya Ottoman, na baada ya Ujerumani na Ottoman kushindwa vita, iliwekwa chini ya uangalizi (utawala) wa Waingereza, kama ilivyokuwa kwa Tanganyika.

Ila baada ya Vita ya Pili ya Dunia kuisha, nchi za Magharibi na UNO, kwa makusudi kabisa wakaamua kuifutilia mbali nchi ya Palestina, na kuanzisha nchi ya Israel ndani ya ardhi ya Wapalestina. Jiulize sasa "kwa nini walifanya huu uonevu kwa Wapalestina?"
Hilo la ndugu zetu Wa-Palestina utamuuliza Sheikh Kipozeo. Leo Ni zamu ya Vatican yenye Rais toka Bingwa wa Kombe la Dunia 2022, Argentina
 
2010 ndo kosa lilifanyika chini ya uangalizi wa Chama gani?
Mzazi/Baba/Mume, sometimes una ignores vikosa vidogo vidogo vya mkeo na watoto ambayo havina madhara kwa familia. Hivyo katiba rasmi ni katiba ya JMT, haiyatambui mabadiliko hayo ya katiba ya Zanzibar kujiita nchi!.
As long as nchi kama nchi ni moja tuu, JMT, then hakuna tatizo mwingine yeyote kajiita nchi, mfano max anaweza kujiita rais wa jf na kuuita jf ni nchi ya JF.
P
 
Nchi ni moja tuu, JMT!, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.
P
Kwa hiyo unakubali hakuna muungano kuna uvamizi? Maana kama huu ungekuwa muungano basi ungeipa Zanzibar heshima yake kama nchi iliyoungana na nchi nyingine. Na kama kulikuwa na uvamizi na siyo muungano basi Zanzibar ina haki ya kugombea uhuru wake kama nchi yoyote ile iliyovamiwa au iliyokaliwa kiukoloni.
 
Kwa hiyo unakubali hakuna muungano kuna uvamizi? Maana kama huu ungekuwa muungano basi ungeipa Zanzibar heshima yake kama nchi iliyoungana na nchi nyingine. Na kama kulikuwa na uvamizi na siyo muungano basi Zanzibar ina haki ya kugombea uhuru wake kama nchi yoyote ile iliyovamiwa au iliyokaliwa kiukoloni.
Point. !
 
The Holy See is the government of Vatican City, which is the global headquarters of the Catholic church and the smallest independent nation in the world. It is also the only independent nation to choose not to apply for membership of the United Nations. The logic behind this decision is said to be that the Pope prefers not to directly affect international policy. That said, other sources speculate that if Holy See were to apply, issues might arise regarding whether it was able to meet the U.N.'s definition of a country (particularly its ability to contribute to global security) and whether it was in fact a religious organization rather than a true state.
 
The Holy See is the government of Vatican City, which is the global headquarters of the Catholic church and the smallest independent nation in the world. It is also the only independent nation to choose not to apply for membership of the United Nations. The logic behind this decision is said to be that the Pope prefers not to directly affect international policy. That said, other sources speculate that if Holy See were to apply, issues might arise regarding whether it was able to meet the U.N.'s definition of a country (particularly its ability to contribute to global security) and whether it was in fact a religious organization rather than a true state.
Speculation hiyo ya mwisho ina mantiki !
 
Ule ni mji mtakatifu wa kiroma na kiongozi wake ni papa kwa maana hiyo pale hamna siasa kama za nchi nyinginezo.

Na UN ipo kisiasa zaidi ni mawazo yangu naomba kusahihishwa
Kama haipo kisiasa isingekua na mabalozi, maana ubalozi ni political tena international politics
 
Yesu alihubiri sana kuhusu Ufalme wa Mungu Mbinguni, haya mambo ya siasa yametoka wapi? Mabalozi wa nini? Ina maana Wakatoliki wanajikita zaidi na ulimwengu kuliko ule Ufalme aliohubiri Yesu.
 
Hivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Pitia humu.

 
Back
Top Bottom