"ZANZIBAR SIO NCHI".... Mizengo Kayanza Pinda...The former Prime minister of the United republic of Tanzania.Hata Zanzibar sidhan Kama inatambulika na UN![]()
"ZANZIBAR SIO NCHI".... Mizengo Kayanza Pinda...The former Prime minister of the United republic of Tanzania.Hata Zanzibar sidhan Kama inatambulika na UN![]()
Nchi ndani ya Nchi ?!!Hivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Kiji Nchi ? Au ?!"ZANZIBAR SIO NCHI".... Mizengo Kayanza Pinda...The former Prime minister of the United republic of Tanzania.
Anamuwakilsha Mkuu wa Dini !!Vatican Wana Balozi nchini anamuwakilisha Nani ikiwa sio nchi?
hao Monaco Kama hawana uwezo wa kiulinzi Kwa nn wasijisalimishe Kwa Ufaransa mazima?Anamuwakilsha Mkuu wa Dini !!
Papa analindwa na Swiss guard.Mkuu vatcan Haina jeshi? Haina usalama wa taifa?
Analindwa na Roho MtakatifuPapa analindwa na Swiss guard.
Wewe jaribu ujinga tu.Analindwa na Roho Mtakatifu
Vatican sio nchi
Salama, za kwako?Mkuu salama?
Ulitakiwa kuuliza swali kuhusu Palestina, badala ya Vatican isiyo na changamoto zozote zile za kujadili! Zaidi tu ya zile za kujifurahisha, na kuchangamsha kijiwe. Maana historia ya Vatican, inafungamana na siasa za Benito Musolini; Dikteta wa Italy wa wakati huo, aliyeamua kulimegea Kanisa hilo eneo la takribani hecta 29 tu, nje kidogo ya Mji wa Roma kuwa Makao Makuu ya Kanisa. Na lengo lake kuu lilikuwa ni kuliziba mdomo Kanisa, ili lisimkosoe kutokana na sera yake ya kifashisti.Hivi ni sababu gani inafanya nchi ya Vatican isitambulike kama nchi na Umoja wa Mataifa? Kuna nini hapo kimejificha?
Nchi ni moja tuu, JMT!, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.Ni nini kama siyo nchi?
Haina jeshi haina polisi, haina sarafu. Ina usalama wa Pope ila analindwa na Italy. Wana tiss yao kali hiyo dunia nzima!. Usikute wana data za Samia kuliko zilizoko Bakwata!.Mkuu vatcan Haina jeshi? Haina usalama wa taifa?
Yes Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.Zanzibar siyo nchi
Vatican imo ndani ya nchi ya Italiano, na ndiyo yenye jukumu la ulinzi.Mkuu vatcan Haina jeshi? Haina usalama wa taifa?