Kwanini Vatican haitambuliki na UN?

Kwanini Vatican haitambuliki na UN?

Sio sahihi kuilinganisha status ya Zanzibar na Vatican City.

Zanzibar ni kama Wales, Scotland, Greenland n.k They are not sovereign states.
Kwa sheria za kimataifa, moja ya sifa za sovereign states ni kuweza kuingia mikataba na mataifa mengine huru (other sovereign states), Zanzibar kama ilivyo Scotland, Greenland n.k hawana mamlaka hayo. Mamlaka hayo yapo kwenye serikali za JMT, UK na Denmark respectively.
Huko ndiko alikotaka Nyerere kuifikisha Zanzibar baada kuivamia
 
Mungano hauna passport 2 ni 1 tu. Passport ya jamuhuri ya watu wa Tanzania over.
Hiyo ni passport ya Tanganyika in disguise. Wazanzibari hatuna imani nayo , tunaichukuwa kwa kulazimishwa kwani tumevamiwa hatuwezi kuweka passport yetu
 
Yes Zanzibar ni nchi ndani ya nchi, kitaifa Tanzania japo ni nchi moja ya JMT, ndani ya JMT kuna nchi mbili, Tanzania bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar, tuna serikali mbili za SJMT na SMS, tuna marais wawili, mabunge mawili, na Mahakama mbili. Hivyo ndani ya muungano wetu ni muungano wa federation.

Nje ya muungano, Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye muungano wa union wenye rais mmoja, rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu, ina serikali moja ya JMT, Bunge moja, Mahakama moja.
P
Paschal, asante kwa uchambuzi wako. Hakuna nchi inaitwa au iliwahi kuitwa Tanzania Bara. Muungano huu ni fumbo.
Rais wa Zanzibar akienda nchi za nje anatambulika kama Rais au namna gani?
 
Vatican ni mji na sio nchi. UN utambua nchi na sio mji
 
Maadam umejificha naona nikusaidie, HOLLY SEE siyo bahari takatifu(holly sea).
Pole braza I was in Rome few years ago. Umewekwa msituni kaka. Na vyote vipo mbele ya macho na kamwe hutaviona Wala kuelewa.
Nilichokiandika sijakosea hata kidogo.
 
Pole braza I was in Rome few years ago. Umewekwa msituni kaka. Na vyote vipo mbele ya macho na kamwe hutaviona Wala kuelewa.
Nilichokiandika sijakosea hata kidogo.
Kwahiyo msimamo wako ni Holly Sea! Kwaheri nimekushindwa kwa hilo.
 
Back
Top Bottom