MIkopo hata wafanyabiashara wanakopa, labda biashara yako ya huduma ya kufirwa haihitaji mkopoLala mapema wewe kesho usijechelewa kazi yako ya kimaskini mikopo shindilii.
MIkopo hata wafanyabiashara wanakopa, labda biashara yako ya huduma ya kufirwa haihitaji mkopoLala mapema wewe kesho usijechelewa kazi yako ya kimaskini mikopo shindilii.
Hivi kumbe hata usipofanya unalipwa?
Uko sahihi 1m % brother. Mi mstaafu nilijiondoa mapema. Nimeamua kujiajiri, nimeshangaa nilivyochelewa na kwa nini nimekaa muda wote huo serikalini. Fursa za kupiga hela zipo nje ya utumishi serikalini nyingi tu, na bila stress.Kumekuwa na nadharia tangu enzi za Nyerere mpaka sasa kwamba ajira ni utumishi wa umma tu, kisa kikubwa eti kuna security.
Lakini ukiangalia wengi wa hao watumishi, ni watu wanaostruggle sana, angalia walimu, madaktari,wauguzi, nk. Asilimia 95 yao ni watu wanaoteseka na maisha.
Mshahara wa kawaida sana, wamejaa madeni , benki mpaka vikoba, hawana la maana. Lakini wanag'ang'ana tu. Mtu anasubiri kustaafu, ndio apate kihela labda cha kupumulia maana lazima atakuwa na madeni ya kutosha. Na atakufa siku si nyingi maana jua linakuwa lishazama.
Baadhi ya watumishi kwenye strategic positions ndio utawaona wananufaika na utumishi wa umma, mfano wale wa bungeni, baadhi ya wizara, mashirika na taasisi za umma. Na hao si wengi kama hawa wa kawaida.
Je, 2025 bado kuna watu wanaamini kuwa maisha ni kufanya kazi serikalini? Huu uoga utaisha lini?
Ukiangalia kwa jicho lingine utakuwa ni incompetence inawasukuma huko maana asilimia kubwa ya graduates hawana skills za kuajirika sehemu za maana. Wataharibu tu. International job market ipo kubwa sana lakini hutoona wanahangaika nayo kama ilivyo wenzetu wa Kenya au Wanigeria.
Je mpaka 2025 hii mentality ya kitumwa na ya ki coward inafaa?
Tuelezee maana mmechapika kitaa.
😂😂😂😂😂Trump ametufundisha jambo kubwa sana!
Acha watu wakimbilie serikalini
Hahaa umepanick maskini mkubwa wewe. Tena tarehe kama hizi mshahara ushaisha ni vizinga kwa kwenda mbele😂, wekabl number uokote mtumwa.MIkopo hata wafanyabiashara wanakopa, labda biashara yako ya huduma ya kufirwa haihitaji mkopo
Unatafuta basha, sema haraka ufirwe uokote.Hahaa umepanick maskini mkubwa wewe. Tena tarehe kama hizi mshahara ushaisha ni vizinga kwa kwenda mbele😂, wekabl number uokote mtumwa.
🤣🤣🤣🤣unakuta jamaa anaponda sana utumishi wa umma sababu kila akigusa interview za utumishi anakula za uso kwa hiyo kaamua bora iwe sizitaki mbichi hizi.
Ana njaa kali kinomaaaaunakuta jamaa anaponda sana utumishi wa umma sababu kila akigusa interview za utumishi anakula za uso kwa hiyo kaamua bora iwe sizitaki mbichi hizi.
Mtumishi tarehe mbaya hizi njaa inatia hasira hahaaaaa.Unatafuta basha, sema haraka ufirwe uokote.
Njaa ndio inakusumbua.
Fakers
Mimi mtendaji wa kata bana.Mtumishi tarehe mbaya hizi njaa inatia hasira hahaaaaa.
Ukweli kabisa ndugu.Uko sahihi 1m % brother. Mi mstaafu nilijiondoa mapema. Nimeamua kujiajiri, nimeshangaa nilivyochelewa na kwa nini nimekaa muda wote huo serikalini. Fursa za kupiga hela zipo nje ya utumishi serikalini nyingi tu, na bila stress.
Watumishi wengi akitembelewa na ndugu au jamaa pale kwake inakuwa jambo la kuongelea nje huko. Yaani ni shida. Kutoboa ni wachache.
Kitu ambacho naona kinakosekana ni elimu ya fursa zilizopo nje ya utumishi serikali kuu. Hiyo elimu utaipata wapi ?
Sana sana mtu wa kukuongoza ni mzazi kama ana ufahamu na jamaa wa karibu, kichwa kichwa inakuwa ngumu.
Si wanakopa ili kuendeleza biashara.Mimi mtendajinwa kata bana.
Hao wanaojiita wafanyabiashara ndio mabingwa wa kukopa, nawasainia barua zao za mikopo kila siku