- Thread starter
- #61
Umewasemea walio wengi.Sio tunang'angania.....tumepigwa pini hatuna pa kwenda....hakuna ajira na sisi tunatakiwa kuishi......Labda utupe michongo
Umewasemea walio wengi.Sio tunang'angania.....tumepigwa pini hatuna pa kwenda....hakuna ajira na sisi tunatakiwa kuishi......Labda utupe michongo
Ahhh hii haina comeback kmk😅😅MIkopo hata wafanyabiashara wanakopa, labda biashara yako ya huduma ya kufirwa haihitaji mkopo
Kwahiyo mamboWatumishi haijalishi unalipwa shilingi ngapi mko vizuri maana una uhakika wa kula, bima ya afya, mikopo na ukifanikiwa kustaafu una mafao, sisi wengine huku kitaa tunaishi kama mbwa unakula leo kesho hujui utakula nini. Kuna muda unawaza ukizeeka huna nguvu ya kutafuta chochote maana yake ni unakufa kwa njaa au magonjwa yanayotibika.
Mkuu inawezekana kiuchumi upo daraja la juu...watu tunakula kwa manati..ukila asubuhi unapiga pasi ndefu hadi usiku. Unategemea nitanunua bima kweli ?Kwahiyo mambo
Kama Bima
Chakula
Kodi ya pango
Ndo unasema wapo vizuri?
Bima siunaweza kukata sio mpaka uwe umeajiriwa serikalini .
Okay nakuelewa mkuu ila naona umeamua kuwa mkweliMkuu inawezekana kiuchumi upo daraja la juu...watu tunakula kwa manati..ukila asubuhi unapiga pasi ndefu hadi usiku. Unategemea nitanunua bima kweli ?
Huko kama una elimu ya kuung unga na huna extra ordinary skills hata interv huwez kuitwa hawafundishi kaz wanataka watu waka deliver so utawaona only wakenya Uganda and the like sa watz more theoretically mpk Leo unatlkuta mwal au mtu kwenye taasisi ya serikali hajui Ms word sijakuambia exel au SSPNi kweli.
Letesi hapa TIPS za kupata kazi kwenye Mashirika. Binafsi hua napita pita sana FAO na World Food Programme, lkn naona kazi zao most wana taka Advanced Degree na Experience kubwa kubwa 😷
Duniani kote inajulikana hvo kazi za serika li ni kwa obese peopleNi kazi kwa ajili ya watu wavivu na wasio na ubunifu. Ufanye usifanye utalipwa
Kabisa mkuu bora aliyeajiriwa unafikiria kama kijana unalala njaa je ukiwa mzee n balaa.Watumishi haijalishi unalipwa shilingi ngapi mko vizuri maana una uhakika wa kula, bima ya afya, mikopo na ukifanikiwa kustaafu una mafao, sisi wengine huku kitaa tunaishi kama mbwa unakula leo kesho hujui utakula nini. Kuna muda unawaza ukizeeka huna nguvu ya kutafuta chochote maana yake ni unakufa kwa njaa au magonjwa yanayotibika.
Na unakuta mzee posho za manati goverment.Binafsi huwa najiuliza, niache mshahara labda 1.5m wa private niende serikalini kulipwa 900k na kazi zinakuwa nyingi zaidi serikalini....nabaki dilemma ila serikalini nitaenda nikifikisha miaka 40
Huko kama una elimu ya kuung unga na huna extra ordinary skills hata interv huwez kuitwa hawafundishi kaz wanataka watu waka deliver so utawaona only wakenya Uganda and the like sa watz more theoretically mpk Leo unatlkuta mwal au mtu kwenye taasisi ya serikali hajui Ms word sijakuambia exel au SSP
Mi nimeona panya ndio wanang'aa, madereva 70 wamefkuzwa Qatar. Vilaza.😂Hahaa sio kweli Mkuu.
Nenda linkedlin Utaona kuna wabongo wengi tu wanafanya Vizuri kwenye International NGOs.
Japo ni kweli Wakenya Ni wengi kuliko wa Tz.
Lkn Hatuwezi kujikatia tamaa