Rahsully
Member
- Aug 2, 2023
- 29
- 60
Hahahahhahah yaan tareh 12 mwezi wa 6 tunakaribia kufikisha mwaka asee wooiihalafu kwenye tarehe 12 sasa pale yaani wanashtua basi tu🤣🤣
Hahahahhahah yaan tareh 12 mwezi wa 6 tunakaribia kufikisha mwaka asee wooiihalafu kwenye tarehe 12 sasa pale yaani wanashtua basi tu🤣🤣
ila ipo siku tu watapotea njia we subiri tu utakuja kuniambia..Hahahahhahah yaan tareh 12 mwezi wa 6 tunakaribia kufikisha mwaka asee wooii
Nimeona db admin wawil kutoka kwenye database..walipiga oral ya self MFDaaah kuna waliofanya usahili kuanzia tar 20/3 na pia kimya.. sijui kwanini wanaishiaga 19/3 mwezi wa nne waligusia pdf moja tuuu.. sheeeenziii
Afadhali ila IT akumbuke na wa mwezi wa nne. Maana hapa pdf nyingine nahisi hadi mwezi wa sita..Nimeona db admin wawil kutoka kwenye database..walipiga oral ya self MF
usiiseeme hivyoooooAfadhali ila IT akumbuke na wa mwezi wa nne. Maana hapa pdf nyingine nahisi hadi mwezi wa sita..
Ukwel ndo huo apo pdf ad mwez wa 6usiiseeme hivyooooo
amna bana watatoa tuUkwel ndo huo apo pdf ad mwez wa 6
🤣 🤣No comment😕
ikifika july vibari vya ajira vinatoka sio.Pdf ni bandika bandua...kesho nyingine...
Kaz ndio wanaweza kuanza july mwaka mpya wa fedha
Daaaaaaah hali ni mbaya kiukwelTunaona kwamba mnataka watu waishe data base ila kwa speed hii, wasaka ajira watafika wamechoka, kibari tayali why mvutano wa tasisi na psrs kupelekea kuchelewa kwa plaement
Mwamba kama mwamb🤣🤣🤣hatimae wametoa sasa mngekufa 😆 😆