Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

A

Acha kudanganya hakuna mtu anayekuruhusu kufanya writen interview anagali dakika 35 katika 60 zimeisha yaani umefanya dakika 25 baada ya miangaiko ya usumbufu wa vyeti na afdafid dah ujue kuna watu wankuwa exerted kwakujua au kuonekana special na wengine ni maeyoo na wengine nikutaka kusema hawajui uchungu na kadha inaoyo wakuta wasaka ajira baada ya wao kufanikiwa kuitwa kazini, sijui wakipata placement katika intriduction(semina) za kazi katika utumishi wanambiwa aje kusema hivyo kwa madai ya kutia moyo wasaka ajira(wapambanaji), nonsense
Mkuu kwanza kabisa Sina faida nikikudanganya wew au mtu yeyote humu, interview ilikua ya dk40 sio uptitude and gud thing Nina ushahid wa documents affidavit na tarehe niliyofanya interview vinarelate na mpaka leo sijaripot kazin so Amna aliyenambia nije apa kuongea positive things bout process za ajira Kama utaki kuamini it's well and gud sitokuforce kuamin, ila punguza negativity mkuu.
 
Kwahiyo interview ya kwanza hiyo ya watu 700 mliyo ingia oral hawakutaka afidafit na hawakukupa changamoto za vyeti hadi hii ya pili uliyo fanya ndo waliliona hilo (UJUE WATU HUMU WAPO NA AKILI TIMAMU SANA NA WENGINE NI PRO KATIKA HAYA MAMBO YA AJILA NA WAMEMALIZA VYUO ZAIDI YA MIAKA 15 NA KUENDELEA ) kwahiyo semeni vitu vinavyo kuwa na ukweli, usiwe kama watoa ushuda kanisaini wengine ni waongo tu wanataka kuonekana nao Waemejibiwa maombi na Mungu baada ya kuona wengine wanajibiwa na Mungu!
Yah ya kwanza sikusumbuliwa cz tatzo lilikua kwenye Chet Cha kuzaliwa so sikuchukulia Kama Ni big issue ,mpaka interview ya pili nilipokutana na wasimamizi walionikazia kuingia. NA HAKUNA ALIYE PRO KWENYE KUTAFUTA AJIRA WOTE TUNAJIFUNZA KILA SIKU.Ndiomana Kuna watu washapata kazi tangu uzi umeanza still wapo humu kujifunza piah kutoa ushauri, unaloona linakufaa chukua Kama unaona uongo/halikufai acha mkuu.
 
Kwahiyo interview ya kwanza hiyo ya watu 700 mliyo ingia oral hawakutaka afidafit na hawakukupa changamoto za vyeti hadi hii ya pili uliyo fanya ndo waliliona hilo (UJUE WATU HUMU WAPO NA AKILI TIMAMU SANA NA WENGINE NI PRO KATIKA HAYA MAMBO YA AJILA NA WAMEMALIZA VYUO ZAIDI YA MIAKA 15 NA KUENDELEA ) kwahiyo semeni vitu vinavyo kuwa na ukweli, usiwe kama watoa ushuda kanisaini wengine ni waongo tu wanataka kuonekana nao Waemejibiwa maombi na Mungu baada ya kuona wengine wanajibiwa na Mungu!
samahani ni ajira sio ajila
 
Back
Top Bottom