Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Pole ila tii sheria bila shuruti hicho unachokiomba hakiwezekani na ukikaidi sie watumishi wa umma tutakushughulikia kulingana na sheria iliyowekwa na jamhuri. Timiza vigezo vya ajira practice your carrier utatoboa tu usahili hata kama wewe ni mtoto wa mkulima.
Vigezo vipi huenda havijatia wewe unaon!, kama kila hatua tayali na kila kinachohitajika tayali kulingana na kanuni na sheria zote za nchi sasa hapo unafikili nini kifanyike, ukiwa na hakiki finyu utasema muombe Mungu, sasa hapo unaombaje Mungu angali asha kusaidia kila hatua ila ni watu wachache hawataki kukubaliana na jitihada zako, au tumuimbe Mungu wafe hao watu au watoke katika authorities zako, wanje wengine wen ueledi na hekima pia na ethics za utumishi ?
 
Vigezo vipi huenda havijatia wewe unaon!, kama kila hatua tayali na kila kinachohitajika tayali kulingana na kanuni na sheria zote za nchi sasa hapo unafikili nini kifanyike, ukiwa na hakiki finyu utasema muombe Mungu, sasa hapo unaombaje Mungu angali asha kusaidia kila hatua ila ni watu wachache hawataki kukubaliana na jitihada zako, au tumuombe Mungu wafe hao watu au watoke katika authorities zako, wanje wengine wenye ueledi na hekima pia na ethics za utumishi ?

wale wanywaji gongo(pombe za kinyeji) kilabuni ukiwahudumia kama muuza pombe ukiwapelekea pombe kwao utasikia wanasema kata kichwa(punguza kidogo unywe na wewe) zamani nilikuwa siwaelewagi ila sasa najua kwanini wanafanya hivyo, maana anaamini ndo njia pekee ya kuamini kazi yako(pombe) na yeye atakuwa salama na walikuwa makini sana hata kama amelewa anahakikisha hadi umeinywa na wewe muhudumu, hapo wakulaumiwa ni nani muuza pombe au munywa pombe!?😂😳
 
Nadhani amezungumzia suala la kuwa na vibali vya kufanya shughuli unayotaka.
Vigezo vipi huenda havijatia wewe unaon!, kama kila hatua tayali na kila kinachohitajika tayali kulingana na kanuni na sheria zote za nchi sasa hapo unafikili nini kifanyike, ukiwa na hakiki finyu utasema muombe Mungu, sasa hapo unaombaje Mungu angali asha kusaidia kila hatua ila ni watu wachache hawataki kukubaliana na jitihada zako, au tumuimbe Mungu wafe hao watu au watoke katika authorities zako, wanje wengine wen ueledi na hekima pia na ethics za utumishi ?
 
Ninaomba kuelekezwa kama mtu hana kitambulisho chochote na ana NIDA namba tu je wanakubali uende na nini ili uchukue barua pale Rose Migiro.? Barua ya Serikali za Mitaa inatosha??
 
siunaona zilivofatana hizo pdf huo ni mkeka mmoja wameuvunja kuwapooza majobless.hapo mpaka hivo vimulimuli vyote vizime hapo ndio watatoa tena sidhani kama ni mwezi huu..
Si wanatuzuga tu,pdf za kila siku 4 mfululizo zipo kimchongo tu yani wangeweka ndan ya pdf moja wakashona wakatulia sku 2 tatu wakashusha mzigo mwngine mzito wa kueleweka..apa kwel mpk kutok lingine sjui lini🙌
 
Hivi kumbe hawa PSRS wanaweza kukuita kazini tarehe tofauti na uliyofanya interview? Maana kuna jamaa yangu nilifanya nae interview mwezi wa pili tarehe 20 lakini kaja kuitwa kwa waliofanya usaili tarehe 19 Mwezi wa tatu
 
Ndugu zangu katika utaftaji jumapili ya Leo nipo hapa kuwapa moyo kila mtu atatoka kwa wakati wake uliosahihi, naamini ilo kwakua Mimi Ni mfano unaoishi. Mwaka 2022 bada ya kumaliza degree ya kwanza 2023 niliofanya interview yangu ya kwanza nkafika mpaka oral watu waliitwa kazin zaidi ya 700 lakini mim sikuwepo, mwaka huu nkaendelea na mapambano ya kuongeza received kwenye kuwania position1 while tulikua shortlisted watu zaidi ya 500 kwaajili ya written interview nilikumbana na changamoto nyingi kipindi Cha interview Mambo ya vyeti kutafuta affidavit nkapiga written interview kwa dk25 tu Mungu mwema nkapata nafasi ya kufika oral niliomba Sana huku nkifanya maandaliz ya kutosha na hatimae nkafanikiwa kuliona jina langu kwenye PDF direct. Kikubwa kilichonisukuma kutoa huu ushuhuda ndugu zangu ni tusikate tamaa kuomba na kujarib Tena na Tena hata Kama Ni nafasi moja Mana ndio inaweza kua ya kwako au ukapata kupitia data base tusikate tamaa katika kile tunacho amini.#consistency is the key.
 
Hongera, wengine tumemaliza miaka saba nyuma na bado tunaendelea kusubiri wakati wetu.. hii nafasi unayoongelea bila shaka itakua Youth Development Officer
Ndugu zangu katika utaftaji jumapili ya Leo nipo hapa kuwapa moyo kila mtu atatoka kwa wakati wake uliosahihi, naamini ilo kwakua Mimi Ni mfano unaoishi. Mwaka 2022 bada ya kumaliza degree ya kwanza 2023 niliofanya interview yangu ya kwanza nkafika mpaka oral watu waliitwa kazin zaidi ya 700 lakini mim sikuwepo, mwaka huu nkaendelea na mapambano ya kuongeza received kwenye kuwania position1 while tulikua shortlisted watu zaidi ya 500 kwaajili ya written interview nilikumbana na changamoto nyingi kipindi Cha interview Mambo ya vyeti kutafuta affidavit nkapiga written interview kwa dk25 tu Mungu mwema nkapata nafasi ya kufika oral niliomba Sana huku nkifanya maandaliz ya kutosha na hatimae nkafanikiwa kuliona jina langu kwenye PDF direct. Kikubwa kilichonisukuma kutoa huu ushuhuda ndugu zangu ni tusikate tamaa kuomba na kujarib Tena na Tena hata Kama Ni nafasi moja Mana ndio inaweza kua ya kwako au ukapata kupitia data base tusikate tamaa katika kile tunacho amini.#consistency is the key.
 
Back
Top Bottom