Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

wanao faidi resource za nchi alizo umba Mungu ni wachache kwakweli kwakivuli cha sheria na madaraka.
Nimenyosha mikono kwa Taifa Tanzania,

Kama hakuna kazi serikarini busi waturuhusu kila mtu avamie sehemu za Madini tukachimbe wenyenye unachokipata ndo liziki yako na pia sehemu za maziwa mito milima mabonde bahari mti aridhi zenye rutuba tukafanye shughuli zetu kwa uhuru kila aliye umbwa na Mungu kwa dunia hii afaidi mema ya nchi yake!
 

Attachments

  • A3C0A3CB-84A4-451F-9A03-8687E14F1FA0.jpeg
    A3C0A3CB-84A4-451F-9A03-8687E14F1FA0.jpeg
    142.3 KB · Views: 3
wanao faidi resource za nchi alizo umba Mungu ni wachache kwakweli kwakivuli cha sheria na madaraka.
Nimenyosha mikono kwa Taifa Tanzania,

Kama hakuna kazi serikarini busi waturuhusu kila mtu avamie sehemu za Madini tukachimbe wenyenye unachokipata ndo liziki yako na pia sehemu za maziwa mito milima mabonde bahari mti aridhi zenye rutuba tukafanye shughuli zetu kwa uhuru kila aliye umbwa na Mungu kwa dunia hii afaidi mema ya nchi yake!
Pole ila tii sheria bila shuruti hicho unachokiomba hakiwezekani na ukikaidi sie watumishi wa umma tutakushughulikia kulingana na sheria iliyowekwa na jamhuri. Timiza vigezo vya ajira practice your carrier utatoboa tu usahili hata kama wewe ni mtoto wa mkulima.
 
Pole ila tii sheria bila shuruti hicho unachokiomba hakiwezekani na ukikaidi sie watumishi wa umma tutakushughulikia kulingana na sheria iliyowekwa na jamhuri. Timiza vigezo vya ajira practice your carrier utatoboa tu usahili hata kama wewe ni mtoto wa mkulima.
we nae toka uotee udereva umekua motivesheno spika.bongo kazi kwelikweli 😆 😆
 
Back
Top Bottom