Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hv unajuaje kuwa hawa kadhaa ni kutoka database na mhusika atajuaje kuwa buyu la asali limemfikia.?
Raia wengine tofauti na wazee wa Flash, tunawatambua watu kutoka database kwa namna mbili.

1. Kama mlifanya wote oral halafu hakuitwa kwenye placement ya kwanza, akaja kuitwa placement nyingine na hakufanya oral ya mwajiri huyo, hapo basi tutajua ni kutoka database.

2. Muhusika mwenyewe kubainisha kuwa katoka database.
 
Raia wengine tofauti na wazee wa Flash, tunawatambua watu kutoka database kwa namna mbili.

1. Kama mlifanya wote oral halafu hakuitwa kwenye placement ya kwanza, akaja kuitwa placement nyingine na hakufanya oral ya mwajiri huyo, hapo basi tutajua ni kutoka database.

2. Muhusika mwenyewe kubainisha kuwa katoka database.
kwa hyo mkuu Mwifwa unaweza kufanya usahili wa taasisi fulani lakini database ukaitwa taasisi nyingine kwa kada hiyo hiyo? au lazma taasisi hyo hyo itoe ihitaji mtu ndio wanaenda database

ufafanuzi please
 
Raia wengine tofauti na wazee wa Flash, tunawatambua watu kutoka database kwa namna mbili.

1. Kama mlifanya wote oral halafu hakuitwa kwenye placement ya kwanza, akaja kuitwa placement nyingine na hakufanya oral ya mwajiri huyo, hapo basi tutajua ni kutoka database.

2. Muhusika mwenyewe kubainisha kuwa katoka database.
Kwahy inamaana kuwa hakuna ishara yoyote ya wazi inayoonyesha kuwa hawa ni kutoka database.?
 
Tuko mwezi wa kwanza ila PDF zote ni za mwezi kwa 12.

Utumishi wako slow sana kwenye kutoa MKEKA.

Ila wepesi kuita interview.
 
kwa hyo mkuu Mwifwa unaweza kufanya usahili wa taasisi fulani lakini database ukaitwa taasisi nyingine kwa kada hiyo hiyo? au lazma taasisi hyo hyo itoe ihitaji mtu ndio wanaenda database

ufafanuzi please
Ukiwa unapelekwa kwenye taasisi( tuiweke Halmashauri pembeni) kutoka database, asilimia kubwa huwa ni taasisi tofauti na uliyofanyia oral ila kwa nafasi ile ile.

Mfano, ulifanya oral ya ICT OFFICER mwajiri akiwa HESLB, then ukakosa nafasi kwenye placement ilipotoka kwa mara ya kwanza. Baadae unaweza kuja kupangiwa TANROADS kama ICT OFFICER kutoka database.
 
Kwahy inamaana kuwa hakuna ishara yoyote ya wazi inayoonyesha kuwa hawa ni kutoka database.?
Namna nilivyoeleza ndivyo tunavyofahamu kuwa fulani katoka database.

Mfano kwenye kundi langu, kila walipokuwa wanapangiwa vituo, tayari najua wanatoka database kwa sababu walikosa nafasi ya mwanzo tuliyoifanyia wote oral
 
Hv unajuaje kuwa hawa kadhaa ni kutoka database na mhusika atajuaje kuwa buyu la asali limemfikia.?
Kwenye sheet ya majina ya interview mlioitwa , ukisearch aliyepata Placement usipoona jina lake then obviously no data base ya sahili tofauti na mliyofanya
 
Kwenye sheet ya majina ya interview mlioitwa , ukisearch aliyepata Placement usipoona jina lake then obviously no data base ya sahili tofauti na mliyofanya
Kuna wengine utakuta mkeka umetoka leo hayupo lakini baada ya siku mbili au tatu anakula shavu la taasiai..,kwny zile za Mda na Lga.
 
Back
Top Bottom