Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 20,327
- 44,934
Hv unajuaje kuwa hawa kadhaa ni kutoka database na mhusika atajuaje kuwa buyu la asali limemfikia.?Wamechomoa data base watatu wakaenda kuvagaa bwawa la asali mamlaka ya viwanja vya ndege TAA na mwingine Li Halmashauri la Kakonko