Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,293
- 2,681
Katika kulalamika kwamba hapa nilipo mazingira yake sio rafiki,kuna mkongwe mmoja akasema ningepelekwa huko Buhigwe ningerudi siku hiyo hiyo mkoani kwangu. Sijajua hapo Buhigwe ni chaka kiasi gani.Mwenetu wapi Buhigwe nini.
Ofisini unakutana na kiti cha mbao mguu mmoja mfupi.
Ofisini hapo nje zimepaki baiskeli na pikipiki za Watumishi.