2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 508
- 1,426
DATABASE YA UTUMISHI HAIISHI MZEEIT anasafisha database,
KATIBU HANA BAYA!!
DATABASE YA UTUMISHI HAIISHI MZEEIT anasafisha database,
KATIBU HANA BAYA!!
Muache asafishe huku akiingiza wengine....,kusafisha haimaanishi kumaliza.DATABASE YA UTUMISHI HAIISHI MZEE
Alifanya usaili wa TA lini?? wa Open universityMpaka Sasa haamini, yupo ndani anasali Sala ya shukrani
Hongera sana kwake mkuu!Kuna jamaa yangu alifanya usaili wa T. A open, hakupata. Amekuja kupata placement NIT wakati hajawahi kufanya saili hapo
Kuna mtu nimesoma naye kafanya interview pia Assistant lecturer Arusha tech mwezi wa saba ,amekula shavu leoHongera sana kwake mkuu!
Huyo ni.masters au vp maana Assistant Lecture ngazi ya bachelor km vile haipo au mimi ndo sifahamu ??Kuna mtu nimesoma naye kafanya interview pia Assistant lecturer Arusha tech mwezi wa saba ,amekula shavu leo
Hongera mliolamba asali
Assistant lecturer ni masters mkuuHuyo ni.masters au vp maana Assistant Lecture ngazi ya bachelor km vile haipo au mimi ndo sifahamu ??
Alipiga mastersHuyo ni.masters au vp maana Assistant Lecture ngazi ya bachelor km vile haipo au mimi ndo sifahamu ??
Wale waliokuwa na received za mda & lga wacheki pdf imetoka
Watu ni wengi balaaa
Mzee unabando la kuingia jf halfu hauna bando la kuangalia kwa websiteBoss ebu share hyo pdf tuone mkuu
Nmeingia sijaona ndo maana nimeomba, wacha niingie tenaMzee unabando la kuingia jf halfu hauna bando la kuangalia kwa website
Mzee mpe heshima yake katibu .View attachment 2786101
IT karibu tupate kifungua kinywa...