Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,339
Sawa mkuuAmeuweka tayari
Sawa mkuuAmeuweka tayari
Mkeka wa watu zaidi ya 200, upo na umepostiwa jana.Yah Jana saa nne IT aliweka.mkeka tofauti na huu akaufuta ndo amekuja kuupost huu leo.
Ulikuwa na watu zaidi ya 200
Wazima,ndugu zangu ..first experience kuhusu utumishi nilipata humu na ndo ilikuwa first interview hatimae Leo nimepata placement ..Mungu ashukuriwe ..alieanzisha huu Uzi uzidi kubarikiwa
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu, kila la kheri mkuuDaah hatimae na mimi nimefikiwa ndugu zangu,Mungu ni mwema. Niache kubeba magogo sasa japo yana hela nyingi.
Hongera sana mkuu ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi, kila la kheri mkuuWazima,ndugu zangu ..first experience kuhusu utumishi nilipata humu na ndo ilikuwa first interview hatimae Leo nimepata placement ..Mungu ashukuriwe ..alieanzisha huu Uzi uzidi kubarikiwa
Mkuu!! hongera sana mkuu, hakika Mungu ni mwema sana, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu, kila la kheri mkuumungu nimkubwa leo wakati nachungulia pdf nimefanikiwa kujiona kwenye screen baada ya kuzima simu..
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwemamungu nimkubwa leo wakati nachungulia pdf nimefanikiwa kujiona kwenye screen baada ya kuzima simu..
ili kujiona vizuri ungejipiga na selfie kabisamungu nimkubwa leo wakati nachungulia pdf nimefanikiwa kujiona kwenye screen baada ya kuzima simu..
🤣🤣🤣ili kujiona vizuri ungejipiga na selfie kabisa
Kweli wewe SIMBA MLEVIHongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema
Utabiri mzuri next pdf naamini jina lako litakuwepo.mungu nimkubwa leo wakati nachungulia pdf nimefanikiwa kujiona kwenye screen baada ya kuzima simu..
Me nikajua kitu na box😀, kumbe ni wenge langu tu 😂😂Kweli wewe SIMBA MLEVI
Maneno huumba jamani🤣
amen.Utabiri mzuri next pdf naamini jina lako litakuwepo.
Hongera Sana mkuu, itabidi unielekeze nikabebe hayo magogo instead,huku nasubiri placementDaah hatimae na mimi nimefikiwa ndugu zangu,Mungu ni mwema. Niache kubeba magogo sasa japo yana hela nyingi.
siku hizi amekua na mambo ya ajabu.akijirekebisha sio chai mpaka ugali atakaribishwa.. 🤣 🤣mbona humkaribishi chai na maandazi ya nazi IT sikuhizi ?