Kabisa mkuu yaan mpk sasa maumivu ninayo nayakumbuk maneno yake dahh jmn binaadam lazim tusaidiane hata km upo ktk cheo ni jambo la mda tu hujui Nan atakaekuj kukufaa kesho yak inawezekan huyo jamaa yko uliemsaidia akadharau lkn yule wa mbal akasaidiaMkuu haya yote yataisha ni suala la Muda Tu mkuu, Ipo siku tutatoka kwenye huu ujobless, uvumilivu unahitajika kwa umakini mkubwa sana. Nyakati ngumu hazidumu ni mapito Tu yataisha haya mkuu