Pole mkuu jipange kwa Interview zijazo. Mara nyingi Matokeo yanaanza kuwekwa kweny account yako.Wakuu kwema?? Hii imekaaje wakuu tumepiga written leo utumishi lakini kwenye account tumeandikiwa not selected wakati PDF la marks hawajatoa hii imekaaje asee na paper kiukweli ilikuwa normal tu na oral ni baadae leo samoja asubuhi hii imekaaje au Kuna mtu humu alishakumbana na hii Hali kwanini wasitoe PDF la marks???????