busanji2003
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 601
- 1,250
Pole sana mkuu...Mungu ni mwema atakupigania usikate tamaa bado mapema watu tunaingia oral zaidi ya mbili tunaaambiwa database expire..Ila bado hatukati tamaa tuna imani ipo siku yangu inakujaDaaaaah hakuna kipindii niliumia Sana kama kuona status NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW wakatii nimetumia pesaa karibiaa lakii mbilii kusafiri na kukaa Dodoma,nimesomaa kwa zaidii ya miezii miwilii,it was so painful for me, Namuomba Mungu anisaidiee siku moja nilambe asali nisahau Yale maumivu