Yah ni kweli gaps zilikuwepo ila baada ya kusikia taasisi ziajiri zenyewe na Bunge kugongelea msumari swala la wanaojitolea ndio NSSF wameamua kuweka mambo hadharani, ni shida kwa kweli, maana wadau walikuwa wanaziulizia sana nafasi za kazi za hii taasisi kumbe behind the scene watu kibao takribani 300 walikuwa wanajitolea huko. na hapo bado PSSSF nao muda si mrefu wataibuka.Hizi
Nafasi 300+ Si kanakwamba hazikuwepo ila walikuwa wanajivuta tu kupeleka psrs, wamesikia wameruhusiwa kuajiri ndo wanatoa tangazo tena kwa msisitizo for internal only. Hii bongo yetu kazi sana.