Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna pdf la nafasi 300+ za kazi NSSF ila ni internal job opportunities kwa wanaojitolea na wenye temporary contract tu. Madhara ya taasisi kujitegemea sasa yanaanza rasmi kuonekana
Mmh kuna vitu unashindwa ata kuuliza yaan majibu unakua unayo tayar sasa kwa izo nafasi na izo condition zao ni......dah au basi tu, Ila jobless naamin tusiokuwa na connection hatukati tamaa PSRS ndo chaguo letu Ipo siku tutalamba asali kupitia wao
 
Chuma hicho
 

Attachments

  • Screenshot_20230917-184908.png
    Screenshot_20230917-184908.png
    158.5 KB · Views: 6
hebu mwenye picha ya masjala ya wazi atume maana wengine tunaisikiaga tu..
mtu anaweza cheka, ila pdf yenye page 12 bado huoni jina lako ni msaala wazee.

mm nimepiga agro economics
unaweza ona wachumi na agro officer wanachomoka kwenye hii mikeka lkn uhalisia pia serikali inasomba sana watu wa certificate na diploma

kila mkeka unaona ni afsa kilimo daraja la 3, agro field officer tu. while agro officer na mchumi ni mmoja or wawili kwa pdf nzima . kitaa njaa kali sana

sijui kwa kada zenu wenzangu wanachukua kwa mfumo gani
 
Wakuu mzigo wa nafasi za kutosha za kazi NSSF
National Social Security Fund (NSSF) as part of our commitment to encourage growth and
development within the Fund, we are excited to announce 392 internal job opportunities
available for all Fund’s employees with specific task contracts. Only candidates who are in
specific task contract term within the Fund should apply
 
Huu ufala wa kujitolea ni rubbish , loophole na kichaka cha watu kujipenyeza kinyemela tu kwenye taasisi .
Kazi zitangazwe ,interview iitishwe watu wapate kazi kwa uwazi ,sio mambo ya kipuuzi ,kujitolea kujitolea ,kujitolea ndio nini ?
Ujinga sana ,wapige marufuku huu uhuni wa kujitolea ,nothing is for free.
Kwanza hawa ndio wanasababisha hata hizi taasisi zibweteke na kuona hamna haja ya kuajiri permanent employees na hivyo kunyima fursa graduates chances za kupata kazi .
Ujinga sana
 
Back
Top Bottom