Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Attachments

  • Screenshot_20240526-173423.jpg
    Screenshot_20240526-173423.jpg
    87 KB · Views: 4
Jobless sijui tunafeli wapi yaani walioitwa usaili pdf la 26/5/2024 ni wachahche sana, halafu wote wanapiga oral tu. Halaf wengine wapo mtaani wanalalamika mambo ya ajira sijui connection lakin hawataki kuapply. Hebu fikiria yaani mwalimu kaitwa kwenye usaili mmoja tu. Halaf... Daah aisee walimu acheni uoga wa intavyuu.. 😂😂😂😂
 
Jobless sijui tunafeli wapi yaani walioitwa usaili pdf la 26/5/2023 ni wachahche sana, halafu wote wanapiga oral tu. Halaf wengine wapo mtaani wanalalamika mambo ya ajira sijui connection lakin hawataki kuapply. Hebu fikiria yaani mwalimu kaitwa kwenye usaili mmoja tu. Halaf... Daah aisee walimu acheni uoga wa intavyuu.. 😂😂😂😂
Embu andika vizuri uweleweke mzee.
 
Back
Top Bottom