Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Pole mkuu ila ungejua kwenye taasisi kumejaa watu wengi wa mikataba na hao watu ni majeuri hatari kwa sababu wengi wao wanakuwa na connection na watu wa taasisi husika na watu wa mikataba vichomi hatari hasa wakijua ni mtu wa kudumu wanavuta midomo hatari .hivyo ni ngumu sana kupenyeza mtu kupitia PSRS
Sio midomo tu...watakupiga majungu uonekane ujui kazi
 
Asali bado ipo tuendelee kupambana
Screenshot_20240525-154510_Chrome.jpg
 
Tuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.

Hizi zilizonikanda ndio niliona ni rahisi ila ikawa kinyume chake.

Sasa akili naihamisha kwenye mishe zingine, haya ya PSRS yamepita.

Wote mliofika oral Muumba akawe upande wenu
Dah !
Ila jobless WA jamii forum tulijua kukomaa, Mwifwa
Unakumbuka hii comment yako ?
Ndio majobless tuko kwenye hii hali kwa sasa .
Huu uzi umetoka mbali .
Duh !
Anyway , Utumishi acheni ukuda ,toeni Placement aisee .

Screenshot_20240525-221955.jpg
 
Back
Top Bottom