Native diaspora
JF-Expert Member
- Nov 19, 2020
- 219
- 341
KIUFUPI MAMBO MAGUMUWAJOMBA MLIOFANYA TEST ZA LEO KADA ZA ACCOUNTS OFFICER II NA WATU WA KILIMO, VIPI WENZETU PAPER LILIKUWAJE AU NDIO MIKANDO JUU YA MIKANDO, MWENDO WA KUTOKA VICHWA CHINI.
KIUFUPI MAMBO MAGUMUWAJOMBA MLIOFANYA TEST ZA LEO KADA ZA ACCOUNTS OFFICER II NA WATU WA KILIMO, VIPI WENZETU PAPER LILIKUWAJE AU NDIO MIKANDO JUU YA MIKANDO, MWENDO WA KUTOKA VICHWA CHINI.
Ni kuendelea kupambana haina kukata TamaaKIUFUPI MAMBO MAGUMU
Tuendelee Kupambana wazee siku ya kupata haifahamiki.KIUFUPI MAMBO MAGUMU
Mwaka wa Fedha huwa unaanza tarehe 1, July.Placements za watu waliofanya usahili mwezi 4 onwards zitachelewa. Bungeni ndo kwanza wanajadili budget za wizara, budget zipitishwe, pesa ndo zitolewe then ndo mtaitwa kwenye placements maana mishahara yenu inatoka humohumo kwenye budget. Na mwaka mpya wa fedha unaanza nafikiri katikati au mwishoni mwa mwezi wa sita. Huu ni mtazamo wangu, kwaiyo placements kutoka ni baado !!!!
Basi tukae kwa kusubiri sanaMwaka wa Fedha huwa unaanza tarehe 1, July.
dahh engineer kumbe upo kalibu kabisa na bwawa la asali.yaani apo wakitoa pdf tu unawapigia hodi.. 🤣 🤣Eeh jamn Electrical Engineers tupeane mchongo jamn huku tunasubir placement maana hali tete niko dodoma hapa aliekua huku tusaidiane
yaan hio nguvu sina kaka.we acha tu siku waje kunipa ajira niwachomee ofisi zao..JARIBU KUWA UNAPITIA PITIA YALE ULIYOYASOMA HATA KAMA HAWAJAKWITA KWA AJILI YA TEST
yani nigombanie miwa rangi 3 asubuhi na niwaze kupitia. Nguvu sina njaa inaumayaan hio nguvu sina kaka.we acha tu siku waje kunipa ajira niwachomee ofisi zao..
Naam mapambano uhakikaTuendelee Kupambana wazee siku ya kupata haifahamiki.
Naam mapambano uhakikaTuendelee Kupambana wazee siku ya kupata haifahamiki.
Naam mapambano uhakikaTuendelee Kupambana wazee siku ya kupata haifahamiki.
Yaan hahahhaha siku hyo utanikuta mlango wa masijala mapema sanaadahh engineer kumbe upo kalibu kabisa na bwawa la asali.yaani apo wakitoa pdf tu unawapigia hodi.. 🤣 🤣
Wanatunyoosha.... tukipata tusisahau kuwekeza...hii hali itatukuta after 60yrs tusipojipangaPSRS 4 v JOBLESS 0 '90+'
Mliokandwa online MTUPE experience ya Utumishi Online IntavyuuWanatunyoosha.... tukipata tusisahau kuwekeza...hii hali itatukuta after 60yrs tusipojipanga
Si kweli mbona mwaka jana pdf za kutosha zilitolewa mwezi wa 5. Na ya mwisho ilitolewa tar 24/5/2023Placements za watu waliofanya usahili mwezi 4 onwards zitachelewa. Bungeni ndo kwanza wanajadili budget za wizara, budget zipitishwe, pesa ndo zitolewe then ndo mtaitwa kwenye placements maana mishahara yenu inatoka humohumo kwenye budget. Na mwaka mpya wa fedha unaanza nafikiri katikati au mwishoni mwa mwezi wa sita. Huu ni mtazamo wangu, kwaiyo placements kutoka ni baado !!!!
yes utumishi huwa hawatabiriki yaani huwa wanatoa pdf muda wowote tu..Si kweli mbona mwaka jana pdf za kutosha zilitolewa mwezi wa 5. Na ya mwisho ilitolewa tar 24/5/2023