Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Kwanini Ushoga unauma kuliko lolote!?

Semistocles

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2016
Posts
1,932
Reaction score
1,126
Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.

Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!

Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)

Ok.. let's go!

Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?

Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!

Kuna shida gani mtu akitumia mwili wake jinsi apendavyo??
 
Sasa ndugu yangu, hizo hadithi za kale za adam na hawa za kwenye biblia si kwa ajili ya nyie wakristo??

Mimi sio mkristo mkuu!
Unahitaji ukombozi ndugu yangu, Mungu hakuumba adam na adam, aliumba adam na eve.

Nilichogundua ni kwamba hisia zako kishoga zina nguvu kuliko uwezo wako.

Mungu akuongoze uache kupumuliwa kisogoni.
 
kwakuwa umesema tusirelate na mambo mengine basi kulikuwa hakuna haja ya kuweka hili bandiko hapa sababu hizo ndiyo rejea zetu ili kupinga hilo swala
Basi nyie ndio mmepotoka maana sio kila mtu ni mkristo au muisilamu.

Kwa mfano mimi sina dini yoyote ile.
 
Hata hiyo mifano uliyotoa ya kuiba mali ya mtu au kutesa mtu,nayo pia si mambo ambayo huonekana mabaya kwa kila mtu na ndiyo maana kuna watu huyafanya na wengine maisha yao hutegemea wizi wa mali za watu.

Kwahiyo vile ambavyo wewe unavyochukulia ushoga kuwa kawaida tu ndivyo mwengine huchukulia kuiba mali ya mtu au hata kuua mtu kuwa ni kawaida tu.
 
Mimi naona Kila mtu na maisha yake acha afirwe hata wanawake wanapenda Sana Tena wengine wanalazimisha so Kila mtu atumie mwili wake apendavyo atahukumiwa mwenyewe na Moto utamuhusu mwenywe
 
Nataka nipate majibu ya kitaalamu kuhusu uchungu mioyoni mwa watu juu ya ushoga.

Mjadala huu usihusishwe kwa vyovyote na mambo ya uswahili swahili na dini zilizokuja na meli. Nchi hii ni SECULAR hivyo kila mtu ana imani yake. Zile hadithi za kale za sodoma na Gomora waweza kuzitupa jalalani!

Nahitaji nijue falsafa juu ya hasira zinazosababishwa na kusikia fulani ni shoga!?? Utasikia, fulani ni shoga huyu, analeta ukame nchini.. . (Hahhahahaa)

Ok.. let's go!

Hivi watu wawili wakiamua kuffirrana kwa hiari yao, kwanini liwe ni jambo la ajabu sana!?

Hawajamuibia mtu, hawajamtesa mtu, hawajakwapua mali ya umma.....???? Wanatumia miili yao tu kwa hiari yao!

Kuna shida gani mtu akitumia kiungo chake jinsi apendavyo??
Wanfundisha watoto wetu kutatuliwa malinda.Mtu akishatatuliwa malinda choo humtoka hovyo.malinda huwezi yarudisha kwa kushona,ni kilema cha maisha
 
Wanfundisha watoto wetu kutatuliwa malinda.Mtu akishatatuliwa malinda choo humtoka hovyo.malinda huwezi yarudisha kwa kushona,ni kilema cha maisha
UMEWAHI KUSHUHUDIA HAYO YOTE MKUU?

AU HADITHI ZA KISWAHILI TU?
 
Mimi naona Kila mtu na maisha yake acha afirwe hata wanawake wanapenda Sana Tena wengine wanalazimisha so Kila mtu atumie mwili wake apendavyo atahukumiwa mwenyewe na Moto utamuhusu mwenywe
Huo mtazamo ni kwa ushoga tu au hata masuala mengine kama madawa ya kulevya,mtu kujiua n.k?
 
Hata hiyo mifano uliyotoa ya kuiba mali ya mtu au kutesa mtu,nayo pia si mambo ambayo huonekana mabaya kwa kila mtu na ndiyo maana kuna watu huyafanya na wengine maisha yao hutegemea wizi wa mali za watu.

Kwahiyo vile ambavyo wewe unavyochukulia ushoga kuwa kawaida tu ndivyo mwengine huchukulia kuiba mali ya mtu au hata kuua mtu kuwa ni kawaida tu.
Kuna mtu anapenda kuibiwa.... ???
 
Back
Top Bottom