ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
Samahani sana wanajf wkwa maneno haya kwani imenibidi niseme hapa nashangazwa na hawa kaka zetu wanapokuwa na jambo la kutaka kusema wao wanabaki wanaumia rohoni wanashindwa kusema wanabaki kuangalia wenzao wakijivinjari. Wapo watu wengi ambao nimekutana nao na wengine niliwashauri namna ya kufanya wanapotaka kitu toka sehemu fulani wanashindwa kusema kutokana na kigugumizi cha mdomo, baadhi yao niliwashauri na wamefanikiwa kutokana na ushauri wangu, kwanini wewe mtu unataka kitu halafu unashindwa kusema na huyo mtu ambaye unamtaka kitu gani kinakufanya ushindwe kusema nini hasa? au ni aibu, mila, desturi, mfumo, ninini hasa? wengi wao nimewasaidia kwa ushauri wamefanikiwa na kuwa na ndoa njema toka kwa Mungu. Ningelipenda na wewe mwanajf kama unataka kitu toka kwa mtu sema naye au ukishindwa onana na wanasaikolojia watakusaidia namna ya kufanya na kuvuka katika woga wa kuthubutu kusema kwa mwenzio. SEMA NAYE ONDOA HOFU