kwanini unafumba macho wakati wakumake love?

kwanini unafumba macho wakati wakumake love?

Kama ule mda ndo umetoa pochi wakati ndo umeifungua kuna jicho hutoka haki ya mungu unaweza sema la ng'ombe kakabwa mashudu
Hamna lolote ni ushamba na unafiki wa mademu wa kiafrica......kijifanya eti wanaaibu wakati aibu yakutongoza na kupiga mizinga hawana
 
naona kama inatokea tu bila kupanga ila nahisi sababu ni kama ifuatavyo kwangu mimi
1.aibu tu...hii kitu haizoeleki(styl yoyote mi macho nafunga)
2.huwa ni giza kwa hiyo hata nikifungua macho sioni chochote(imagne umemuoa mtu anajua kufanya mapenzi ni usiku tu hahhahahah)
sijasema watu hufumba macho lakini hii kitu naiona kwangu
je wewe hufumba macho ni kwanini
Unaonaje nikikufanyia Sampling ili utafiti uweze kukamilika?
 
Kufumba macho inatusaidia sana wazee wa vibamia. Naingiza soseji chachaaa!chaaaa!chaaaa! bila wewe kujua, walau inanijengea heshima.
 
naona kama inatokea tu bila kupanga ila nahisi sababu ni kama ifuatavyo kwangu mimi
1.aibu tu...hii kitu haizoeleki(styl yoyote mi macho nafunga)
2.huwa ni giza kwa hiyo hata nikifungua macho sioni chochote(imagne umemuoa mtu anajua kufanya mapenzi ni usiku tu hahhahahah)
sijasema watu hufumba macho lakini hii kitu naiona kwangu
je wewe hufumba macho ni kwanini

Wengi wenu ufumba macho kuisikilizia utamu wa nyoka anavyoingia na kutoka pangoni
 
Kufumba macho ni ujanja wa wanawake zetu wa kitanzania ni moja ya staili ya kumfanya mwanaume atoe kadi ya benki bila shuruti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom