Kwanini uliacha kwenda kanisani?

"Ulikuwa umejiandalia majibu haya??!"
"Umemwogopa jamaa??! Mbona kwenye jibu lake maswali kibao?!...."
 
Hii hoja iko nje ya mada.

Hivyo, haifai hata kuendelezwa kwa kujibiwa.

Anzisha uzi wako wa mazuri ya kanisa, nitachangia mengi.

Mimi babu yangu alikuwa mchungaji, nyumbani kwetu ni pembeni ya kanisa.
inawezekana kwa alikuwa mchungaji ,hio haimaanishi kuwa aliijua Kweli.Halafu sijagusia chochote kuhusu mazuri ya Kanisa mkuu,
 
Kutoa sio kosa ila sio focus ya imani ya ukristo.Na ikiwa ni focus tunapaswa kujua kwamba tunatoa kwa upendo sio kwa kulazimishwa kwani yeye [Kristo] alijitoa kwa ajili ya dhambi zetu.
Focus ni kukua kiimani kwa kumjua Kristo aliyeandikwa kwenye maandiko tangu mwanzo-ufunuo kwa kujifunza maandiko matakatifu kwa usahihi kwa msaada wa Roho mtakatifu.
Hatupaswi kutoa kwa mlengo wa kupokea zaidi bali kwa upendo ambao tumejifunza kutoka kwa Kristo.
 
"Ulikuwa umejiandalia majibu haya??!"
"Umemwogopa jamaa??! Mbona kwenye jibu lake maswali kibao?!...."
Big No! Kiranga hakuweka complications. Si mara ya kwanza kukutana naye kwenye hoja. Ukiuliza swali anajibu swali badala ya kuuliza swali, nimempongeza kwa hilo. Kuhusu mtazamo wake, nauheshimu.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa muumini mzuri sana, basi mwaka 2014 nikiwa pale UDOM maeneo ya Ng’ong’ona baada ya kutoka zangu misa ya kwanza, nikapewa taarifa kuna Lecture anafungua Bar & Gest huko ujasi.

Mwamba nilikuwa nahudhiria sana ishu za sturi ndefu so nami nikawa mmoja wa waalikwa katika uzinduzi huo. Mungu si Athumani kumbe pia wapo jamaa zetu wa mbuzi katoriki nao wamealikwa!!

Kinywaji kikakolea, nyama choma zikaliwa story nazo zikanoga ci ndo mafather wakaanza kufunguka…..” tunagonga sadaka zenu za leo ni pombe na nyama tu” daah naikumbuka siku ile wakanipa na mishe ya kutafuta “totoz” za chuo!! Mambo yakawa sawa, wakaniacha na 50.

Ki ukweli toka siku hiyo sikuwahi sali tena…japo kwa sasa nshakuwa mtu mzima nawaza KURUDI CHURCH MAANA KUNA FAIDA NYINGI SANA ZA KIJAMII HASA KULIKO KUTOKWENDA.
 
Uko sahihi mkuu Uislam una misingi imara sana sio rahisi mtu kuyumba kiimani

Kingine kwenye ukristo wamepeana uhuru sana .Angalia wanaovaa tu nguo za ajabu mitaani asilimia kubwa ni wanaojiita wakristo angalia walevi wengi na wanaoona kuzaa nje ya ndoa ni ujanja ni upande huo huo

Huwezi kuta kijana wa kiislam akajisifia kuhusu uzinzi au ulevi

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Kwamba jua linazunguka[emoji3][emoji16] kumbe dunia ndiyo inazunguka. Galileo aliwasanua wengi mno.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Of course kujua sayansi ni muhimu lakini ni muhimu zaidi kujua kwamba unapata uzima wa milele kwa kumuamini mwana wa Mungu peke yake (yohana 3:16,yohana 6:40)na sio kwa kutegemea matendo yako ya wema (good deeds).
Maisha ya hapa duniani yapo lakini baada ya kufa inakuwaje pia ni muhimu kujua.
 
Ni kumuamini pekee au na kufuata amri zake? Na amri zake unajua ni zipi?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Reactions: apk
Mimi siwezi kuacha kwenda Kanisani. Mambo ya Imani yanaendana na ufahamu wa mambo ya kiroho, ambayo ni ngumu sana kuyaelezea kwa ufahamu wa kawaida. Pia mambo ya Imani na uhusiano na Mungu no mambo binafsi. Kujua uwepo wa Mungu kunatokana na uzoefu binafsi wa mtu anavyomfahamu na kuhusiana na Mungu. Hayo mambo hayatambulikani kwa reasoning za kimwili, ukiyaendea kimwili lazima utakwama na kuishia kusema hakuna Mungu. Mungu yupo, ila ukiwa na ufahamu finyu wa mambo ya kiroho, utaishia kusema hakuna Mungu.
 
Umejibu vema pia! Umeeleza vizuri.!

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Michango imezidi sana, michango yenyewe hainufaishi waumini moja kwa moja, mara mchango wa ujenzi, mara kiwanja, mara gari wakati we huna nyumba huna baiskeli huna biashara, hela inatakiwa tu. Usipotoa utatengwa au kupakaziwa una dhambi ufukuzwe
Huu uongo jmn
Wapi huko usipotoa unatengwa?
Maana kutoa ni hiari
 
Siwezi acha kwenda kanisani sbb,kwanza simfuati mtu,ukishalijua hili hupati shida..

Shida ni kuwa watu wengi hata hawajui kanisani wanaenda kufanya nn,hawajui wanaenuabudu ,wanaenda Kwa mazoea tu,...
Kajikuta mkristo basi anaenda kanisani km desturi
Hawa wanaweza kuacha ..
 
Haya
Tuma salamu kwa watu watatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…