Kwanini ukimtongoza Mwanamke msibani unafanikiwa haraka?

Kwanini ukimtongoza Mwanamke msibani unafanikiwa haraka?

Basi ma wanawake nao wanaenda misibani na lujua kuwa watapanda mtu wakuwatoa haja zao, nao waendelee na maisha.

Ny*enge ni kitu kinachosumbua pia, so ngoma draw sababu wanajipitisha na wanawapata nyie mnaofikiri mmewapata.

Inaelekea wote hao hawajawahi kukutafuta tena, sababu haijaisema. Na ukisema now utatunga tu. So na wewe unaingia mkenge wao kiulaini, hahahaaaaaaaaa
 
Kufanikiwa Kwangu huku kutongoza Mademu Misibani kumenifanya kila siku nijikite kutaka kujua ni wapi kuna Msiba kwani kwa Takwimu yangu hadi sasa kati ya Wanawake 81 niliowatongoza tukiwa katika Misiba mbalimbali 79 kati yao nimebahatika ' kushiriki ' nao na hao Wawili tu ndiyo wamenipiga ' dochi '.

Huku nikidhani kuwa labda ni Mimi tu peke yangu ndiyo niliyekumbana au ninayekumbana na haya kuna Mdau mwingine yeye nadhani ndiyo kaweka rekodi ya ' kutukuka ' kwani anasema mpaka jana ameshatongoza ' Mademu ' 189 tangia aanze kuhudhuria ' misiba ' mbalimbali tokea alipo ' balehe ' na amesha ' shiriki ' nao wote hao 189.

Hivyo basi naomba kuwaulizeni ' Wadau ' ni kwanini huwa ni rahisi sana kutongoza ' mademu ' mkiwa misibani kuliko maeneo yoyote halafu hata hao Mademu ( Wanawake ) wenyewe huwa ' wanajirahisi ' mno na ni ' nadra ' kukukatalia?

ANGALIZO.


Tafadhali hapa simaanishi wale ' Wafiwa ' bali namaanisha wale ambao wanakuwa wanahudhuria ule ' msiba ' husika au kwa lugha nyepesi wanaitwa ' wageni waombolezaji '.

Naomba kuwasilisha.
Nyie masela mmezidi sasa.
 
Sasa bahati mbaya au sijui nzuri hiyo hali imeotokea hapa hapa Dar es Salaam na hivi ninavyoandika hivi ndiyo nimerudi kutoka ' kukesha ' na jioni ' tunazika ' ila mida ya Saa 5 hivi kuna Mdada mmoja ' anaileta ' mwenyewe ghetto ' nishiriki ' nayo. Nilimtongoza usiku baada ya kuona kila mara anahudumia hudumia mara anajipitisha jipitisha upande tuliokaa ' Madume ' na nikaona si vibaya nikijaribu bahati yangu na bahati nzuri ikawa ' imoooooooooooo.... '.
ngoja na mimi nianze kufanya hako kautafiti
 
Baada ya kuwa na orodha ndefu ya watu uliowagegeda faida yake nn?

Au mwenzangu umeweza kujenga nyumba ya ghorofa kupitia hao wanawake?

Kiukweli mm tangia nizaliwe mpaka hapa nilipo nilikutana nao kimwili ni 2. Sitaki niongeze zaid ya hapo.
 
...kati ya Wanawake
81 niliowatongoza
tukiwa katika
Misiba mbalimbali
79 kati yao
nimebahatika '
kushiriki ' nao...

hapo jumlisha na wale wa mazingira mengine na wale wa saloon yako ya kunyoa vipochini,,=130+
ee mola unavotusamehe anza na huyu Genta!
 
Kufanikiwa Kwangu huku kutongoza Mademu Misibani kumenifanya kila siku nijikite kutaka kujua ni wapi kuna Msiba kwani kwa Takwimu yangu hadi sasa kati ya Wanawake 81 niliowatongoza tukiwa katika Misiba mbalimbali 79 kati yao nimebahatika ' kushiriki ' nao.

Mshukuru sana Mungu kwa kuendelea kukupa afya njema na kukuacha hai huku ukihudhuria misiba ya wenzio.
 
Back
Top Bottom