eddy king
JF-Expert Member
- Apr 1, 2016
- 560
- 1,225
Hiv upo siriaz au changamsha genge?Sasa bahati mbaya au sijui nzuri hiyo hali imeotokea hapa hapa Dar es Salaam na hivi ninavyoandika hivi ndiyo nimerudi kutoka ' kukesha ' na jioni ' tunazika ' ila mida ya Saa 5 hivi kuna Mdada mmoja ' anaileta ' mwenyewe ghetto ' nishiriki ' nayo. Nilimtongoza usiku baada ya kuona kila mara anahudumia hudumia mara anajipitisha jipitisha upande tuliokaa ' Madume ' na nikaona si vibaya nikijaribu bahati yangu na bahati nzuri ikawa ' imoooooooooooo.... '.