Kwanini ukimtongoza Mwanamke msibani unafanikiwa haraka?

Kwanini ukimtongoza Mwanamke msibani unafanikiwa haraka?

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] daaahh! Hii dunia ina mambo yake ya kustaajabisha sana...!!!
 
Kufanikiwa Kwangu huku kutongoza Mademu Misibani kumenifanya kila siku nijikite kutaka kujua ni wapi kuna Msiba kwani kwa Takwimu yangu hadi sasa kati ya Wanawake 81 niliowatongoza tukiwa katika Misiba mbalimbali 79 kati yao nimebahatika ' kushiriki ' nao na hao Wawili tu ndiyo wamenipiga ' dochi '.

Huku nikidhani kuwa labda ni Mimi tu peke yangu ndiyo niliyekumbana au ninayekumbana na haya kuna Mdau mwingine yeye nadhani ndiyo kaweka rekodi ya ' kutukuka ' kwani anasema mpaka jana ameshatongoza ' Mademu ' 189 tangia aanze kuhudhuria ' misiba ' mbalimbali tokea alipo ' balehe ' na amesha ' shiriki ' nao wote hao 189.

Hivyo basi naomba kuwaulizeni ' Wadau ' ni kwanini huwa ni rahisi sana kutongoza ' mademu ' mkiwa misibani kuliko maeneo yoyote halafu hata hao Mademu ( Wanawake ) wenyewe huwa ' wanajirahisi ' mno na ni ' nadra ' kukukatalia?

ANGALIZO.


Tafadhali hapa simaanishi wale ' Wafiwa ' bali namaanisha wale ambao wanakuwa wanahudhuria ule ' msiba ' husika au kwa lugha nyepesi wanaitwa ' wageni waombolezaji '.

Naomba kuwasilisha.
Mkuu hakuna ukweli kuhusu hili ila mambo mengi yanaenda na nyota ata me kwenye biashara yangu kama kuna siku umeanza na mteja wakununua vitu vingi basi siku hiyo ujue kuna upepo wateja wataokuja watanunua bidhaa nyingi sasa inawezekana wewe kuna demu ulimbahatisha msibani basi upepo upo hivyo kwako ni rahis kupata dem msibani kwamaana hiyo ni ngumu kwa mtu mwingine kupata ipo hivyo mkuu
 
Mkuu hakuna ukweli kuhusu hili ila mambo mengi yanaenda na nyota ata me kwenye biashara yangu kama kuna siku umeanza na mteja wakununua vitu vingi basi siku hiyo ujue kuna upepo wateja wataokuja watanunua bidhaa nyingi sasa inawezekana wewe kuna demu ulimbahatisha msibani basi upepo upo hivyo kwako ni rahis kupata dem msibani kwamaana hiyo ni ngumu kwa mtu mwingine kupata ipo hivyo mkuu

Ningeshauri na Wewe anzisha ' uzi ' wako na kichwa chako cha habari kiwe ni " nyota na wanawake " ila katika huu ' uzi ' wangu tunazungumzia urahisi wa Wanawake kutongozeka misibani period.
 
Baada ya kuwa na orodha ndefu ya watu uliowagegeda faida yake nn?

Au mwenzangu umeweza kujenga nyumba ya ghorofa kupitia hao wanawake?

Kiukweli mm tangia nizaliwe mpaka hapa nilipo nilikutana nao kimwili ni 2. Sitaki niongeze zaid ya hapo.
Bado una safari ndefu ya kujua nini maana ya papuchi
 
Bado una safari ndefu ya kujua nini maana ya papuchi
Waliofikisha papuchi 60 wamepata faida gani?

Ww unafanya sex na siyo love. Mr mm nipo kweny love ndiyo maana nina idadi hiyo.

Ukiwa mpenda ngono na mtumwa wa ngono lazima ufikishe hata 20 sbb kila mwanamke utakaye muona unataka kumpanda.

Lkn ukiwa kwenye love. mmoja tu anatosha unapiga miaka 50 huyo huyo. Mm ninayepiga mmoja na ww unayeparamia kila mwanamke nani anasafari ndefu?
 
Labda huwa wanaona thamani yao haipo tena maana nao kifo chawangojea......
Labda misiba huwa inaongeza ashki..........
Au wanakuwa na huruma
 
Back
Top Bottom