Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
- Thread starter
- #41
Mwanasheria Tundu Lissu lazima awepo akishirikiana na wanasheria wengine wa chama watakuwepo .Jamani mimi nimeishia la 3B naombeni nikawe wakili wa Ukawa kwenye kesi hii na ninaomba Wakili wa serikali awe na PhD nikamtoe mkuku mahakamani ,naomba msimsumbue Tundu Lisu kwa kesi hii